Leo ndio mazishi ya Bernard Membe. Kalale pema Ben, uliweka nguzo ya Uinjilisti CCC-Upanga TAG na BCIC kwa Askofu Gamanywa

Leo ndio mazishi ya Bernard Membe. Kalale pema Ben, uliweka nguzo ya Uinjilisti CCC-Upanga TAG na BCIC kwa Askofu Gamanywa

Huko akhera akienda kutana na mwenda zake sijui itakuaje
 
Alimuua balozi wa Libya,kisha kujilimbikizia pesa za hiyo nchi ,alifikiri ataishi milele,majigambo kibao,ni mzoga huo kwa sasa
hii ni habari nyingine natamani kujua ilikuwaje? aliuwawa wapi? wa Libya akiwa raia wa Tanzania au raia wa Libya
 
Back
Top Bottom