wa stendi JF-Expert Member Joined Jul 7, 2016 Posts 25,190 Reaction score 27,434 May 16, 2023 #21 Huko akhera akienda kutana na mwenda zake sijui itakuaje
Chiwa JF-Expert Member Joined Apr 17, 2008 Posts 4,116 Reaction score 4,979 May 16, 2023 #22 wakatanta said: Alimuua balozi wa Libya,kisha kujilimbikizia pesa za hiyo nchi ,alifikiri ataishi milele,majigambo kibao,ni mzoga huo kwa sasa Click to expand... hii ni habari nyingine natamani kujua ilikuwaje? aliuwawa wapi? wa Libya akiwa raia wa Tanzania au raia wa Libya
wakatanta said: Alimuua balozi wa Libya,kisha kujilimbikizia pesa za hiyo nchi ,alifikiri ataishi milele,majigambo kibao,ni mzoga huo kwa sasa Click to expand... hii ni habari nyingine natamani kujua ilikuwaje? aliuwawa wapi? wa Libya akiwa raia wa Tanzania au raia wa Libya
Auz JF-Expert Member Joined Apr 6, 2016 Posts 13,539 Reaction score 11,419 May 16, 2023 #23 Ganja ni dawa said: R.I.P Membe Vipi hela alizokuwa anamdai Musiba zitalipwa au Musiba ndio amepona Click to expand... Sheria imefariki? Hata angekufa Musiba, bado zingelipwa.
Ganja ni dawa said: R.I.P Membe Vipi hela alizokuwa anamdai Musiba zitalipwa au Musiba ndio amepona Click to expand... Sheria imefariki? Hata angekufa Musiba, bado zingelipwa.