Leo ndio nimejua kwanini TANESCO wamegoma kushusha bei ya umeme hata baada ya Bwawa kuanza kazi mwakani

Leo ndio nimejua kwanini TANESCO wamegoma kushusha bei ya umeme hata baada ya Bwawa kuanza kazi mwakani

Kwa hapa tulipo bado hatujafika huko kwa kufanya hayo ndugu yangu ikiwa bajeti tu haujitoshelezi mpaka tupate grant au loans sasa kwa nini tuweke subsidy hamna namna no pain no gain ni njia ya kufikia economy independence ukiendekeza siasa hizi za subsidy kwa watu hiyo economy indepence huifikii hata siku moja kaweke subsidy kwenye afya au elimu kutokana na hali yetu ila sio huku kuachwe hivyo hivyo ili nguvu ya kufinance kwingine ipatikane . Waswahili wanasema masikini hampendi mwanae kwa kuwa mtoto akililia biscuit huna hela unamchapa tabia mbaya lakini moyoni unaumia unajua kabisa hii biscuit ni hela ya kufanyia kitu kingine sio kwamba napinga tu kwa ubishi la hasha uhalisia ukoje ukweli ukoje bora bei ibakie hiyo hiyo upate fedha pengine ukajenge irrigation scheme uwape wakulima kwa subsidy wazalishe tuongeze kipato na hicho kinachoongezeka kikafinance mambo ya maendeleo yatakayomkwamua mtu au watu na sio kununua magari ya kifahari. Siafiki kuwapunguzia bei halafu wote tunakosa mi bado nasimamia hapo hapo bei isipunguzwe.
Hiyo pesa ipi unazungumzia wakati inaingia mfukoni kwa mama Abdul?
 
Hiyo ni long term Sasa uwekeze trillion say 4 alafu uuze umeme kwa bei nafuu kwani cost of production imeshuka? Kuzalisha hizo megawatts 2000+ Ina cost zaidi ya mabwawa yaliyopo combined hasa maintenance and operational costs plus return on investment so lazima tu bei ya mwanzo iwe juu sana.

Hata hiyo SGR imeletwa kushusha gharama za usafirishaji na muda wa kusafiri ila nauli zake zipo juu sababu ya initial investment lazima iwe covered mpaka break even ndio ushushe bei.
Kuzalisha Megawatt 2000 kwa gesi na kuzalisha Megawatt 2000 kwa maji , gharama ni sawa?
 
Kuzalisha Megawatt 2000 kwa gesi na kuzalisha Megawatt 2000 kwa maji , gharama ni sawa?
Wapi nime compare kwa gesi? Nimesema ku operate Bwawa la Nyerere ni gharama kuliko mabwawa yote yaliyopo combined!! So obviously lazima gharama za uwekezaji zirudi ndio bei ishuke . Same tu na daraja la Kigamboni, au nauli za SGR, au bei za tiketi ATCL, lazima mikopo ilipwe so hauwezi shusha bei maana payback period itachelewa na riba zitapanda.

So hayo maneno ya wanaCCM na JPM wenu yalikua kuwapumbaza tu ila haijawahi tokea mradi mkubwa kujengwa afu bei ishuke mwanzoni
 
Huyu alijenga daraja watu wakajua itakua cheap kufika Kigamboni ila bado tunalipishwa pesa za kuvuka daraja!!

Mradi wa JNHEPP ume cost matrillion so Ili pesa ya mradi irudi obviously lazima cost iwe juu mwanzoni same to nauli za SGR.

Ni mjinga tu angedhani serikali ya CCM itashusha bei ya umeme au nauli ya SGR ilihali Kuna madeni ya kulipa na riba juu.
Da kwenye bandari upokimya utafikili aupo
 
Shida hapa ni kwamba umeme utatoka Rufiji halafu watasema ni umeme wa gesi, hivyo malipo yataenda kwa wenye gesi yao.., sisi tutabaki kulipa mkopo wa Trillion 10 zilizotumika kujenga hiko bwawa, kwa tozo za miamala na kodi za majengo za kwenye umeme zilizopoandishwa
Hivi nyie CCM si mlisema ni pesa za ndani Sasa mbona unakiri ni mkopo Tena?

Kingine mlisema kwamba wanahujumu Bwawa na hawataki liishe Ili wauze majenereta? Sasa kama ndio hivyo why Tena limekamilika ndio mseme lengo lao ni kuuza umeme nchi jirani? Yaani mtu anayetaka kuuza umeme kifisadi nje ya nchi ndio ahujumu Bwawa Hilo Hilo analotegemea kuuzia umeme?

Siipendi serikali ya CCM ila Kuna propaganda za sukuma gang hazina mashiko na zinakinzana.
 
Hiyo pesa ipi unazungumzia wakati inaingia mfukoni kwa mama Abdul?
Hizi siasa za dizaini hii hazitusaidii ndugu yangu hatutajenga taifa imara kwa njia hii tuachane na hizi siasa chafu na kuchafua watu kwa uwongo uwongo na kuzua kwa propaganda zisizokuwa na msingi tuwe watu honest and sincere where is your integrity ???
 
Wapi nime compare kwa gesi? Nimesema ku operate Bwawa la Nyerere ni gharama kuliko mabwawa yote yaliyopo combined!! So obviously lazima gharama za uwekezaji zirudi ndio bei ishuke . Same tu na daraja la Kigamboni, au nauli za SGR, au bei za tiketi ATCL, lazima mikopo ilipwe so hauwezi shusha bei maana payback period itachelewa na riba zitapanda.

So hayo maneno ya wanaCCM na JPM wenu yalikua kuwapumbaza tu ila haijawahi tokea mradi mkubwa kujengwa afu bei ishuke mwanzoni
Kama gharama ni kubwa kuliko yote combine, na umeme unaozalishwa si ni mwingi kuliko yote combine, au?
 
Hizi siasa za dizaini hii hazitusaidii ndugu yangu hatutajenga taifa imara kwa njia hii tuachane na hizi siasa chafu na kuchafua watu kwa uwongo uwongo na kuzua kwa propaganda zisizokuwa na msingi tuwe watu honest and sincere where is your integrity ???
Integrity ya aliyegawa bandari bure Kwa wajomba zake iko wapi? Aliyeuza nchi atashindwa kugawa umeme bure kwa mwanae?
 
Integrity ya aliyegawa bandari bure Kwa wajomba zake iko wapi? Aliyeuza nchi atashindwa kugawa umeme bure kwa mwanae?
Wewe hapo integrity yako iko wapi kuongea uwongo na jamani dunia si imeona kesi ya wasioridhika wameenda mahakamani na court of justice imetoa hukumu, hakuna hicho unachosema wewe hizo ni hadaa tu.
 
Kama gharama ni kubwa kuliko yote combine, na umeme unaozalishwa si ni mwingi kuliko yote combine, au?
Ndio ni mwingi na hivyo gharama za uendeshaji ni kubwa na marejesho ya mkopo ni makubwa na kadhalika. Sasa logic ya kushusha bei inatokea wapi? more so mwaka wa kwanza wa mradi?
 
Wewe hapo integrity yako iko wapi kuongea uwongo na jamani dunia si imeona kesi ya wasioridhika wameenda mahakamani na court of justice imetoa hukumu, hakuna hicho unachosema wewe hizo ni hadaa tu.
Muulize Rostam Aziz, ana majibu murua kwa ajili yako
 
Umeme ukiwa mwingi pesa inayoingia si ni nyingi pia? Kitu kikiwa kingi automatically bei yake sokoni hushuka yenyewe. Mfano nyanya zikiwa nyingi nei inashushwa ili zinunulikenkwa wingi zisiharibike au kuongeza storage cost, hata umeme, ukiwa mwingi hauwezi kuuhifadhi kwa battery, shusha bei ili utumika wote. Au la unampa Abdul anaenda kuupigianpesa Uganda.
Ndio ni mwingi na hivyo gharama za uendeshaji ni kubwa na marejesho ya mkopo ni makubwa na kadhalika. Sasa logic ya kushusha bei inatokea wapi? more so mwaka wa kwanza wa mradi?
 
Ni miradi ambayo imetumia gharama kubwa ila haina tija
Unajua maana ya Tija? Tangu lini umeme unaozalishwa kwa gharama ndogo ukakosa tija? Shida upo kwa wanotaka kuuza kwa bei kubwa wakati gharama za uzalishaji ni ndogo..
 
Umeme ukiwa mwingi pesa inayoingia si ni nyingi pia? Kitu kikiwa kingi automatically bei yake sokoni hushuka yenyewe. Mfano nyanya zikiwa nyingi nei inashushwa ili zinunulikenkwa wingi zisiharibike au kuongeza storage cost, hata umeme, ukiwa mwingi hauwezi kuuhifadhi kwa battery, shusha bei ili utumika wote. Au la unampa Abdul anaenda kuupigianpesa Uganda.
That's not how monopoly works, ingekua Bwawa linaweza kuwa accessed na makampuni hata 10 then ndio yauze umeme kwa wananchi hapo bei ingeshuka ila Kwa monopoly industry hakunaga Cha demand and supply maana hata demand ikishuka Bado hamna alternative na hata supply ikiwa kubwa wanaweza punguza maana soko linaamuliwa na kampuni mmoja tu.

Kumbuka Tanesco hawauzi umeme kwa bei ya sokoni, maana wakifanya hivyo Luku ya elfu 10 tutapewa units labda 15 pekee kulingana na mahitaji ya Sasa. Au tukienda kwa sheria zako za demand and supply, umeme una demand kubwa sio tu Tanzania ila hata nje ya nchi je wakiuza kwa bei ya sokoni unadhani nani ata afford hapa Tanzania zaidi ya nchi jirani?

So kabla hatujajadili masuala ya costing kwenye umeme, ni lazima uelewe market structure ya monopoly ni tofauti kabisa na oligopolistic au normal competitive market.

Kingine Tanesco ipo both upstream and downstream yaani inazalisha na pia Ina distribute. Ila Tanesco ikibakia kwenye kuzalisha alafu makampuni binafsi yakapewa uwezo wa kusambaza wenyewe umeme ndio Sasa hizo demand and supply zitafanya kazi na bei itashuka sana maana kutakua na ushindani
 
That's not how monopoly works, ingekua Bwawa linaweza kuwa accessed na makampuni hata 10 then ndio yauze umeme kwa wananchi hapo bei ingeshuka ila Kwa monopoly industry hakunaga Cha demand and supply maana hata demand ikishuka Bado hamna alternative na hata supply ikiwa kubwa wanaweza punguza maana soko linaamuliwa na kampuni mmoja tu.

Kumbuka Tanesco hawauzi umeme kwa bei ya sokoni, maana wakifanya hivyo Luku ya elfu 10 tutapewa units labda 15 pekee kulingana na mahitaji ya Sasa. Au tukienda kwa sheria zako za demand and supply, umeme una demand kubwa sio tu Tanzania ila hata nje ya nchi je wakiuza kwa bei ya sokoni unadhani nani ata afford hapa Tanzania zaidi ya nchi jirani?

So kabla hatujajadili masuala ya costing kwenye umeme, ni lazima uelewe market structure ya monopoly ni tofauti kabisa na oligopolistic au normal competitive market.

Kingine Tanesco ipo both upstream and downstream yaani inazalisha na pia Ina distribute. Ila Tanesco ikibakia kwenye kuzalisha alafu makampuni binafsi yakapewa uwezo wa kusambaza wenyewe umeme ndio Sasa hizo demand and supply zitafanya kazi na bei itashuka sana maana kutakua na ushindani
Bwawa kagharamia nani huo ujenzi wake? Maana unaongea as if hilo bwawa kuna mtu huko katoa zawadi pesa yake mfukoni kajenga, na sio wananchi
 
Kwaiyo umeme uzwee Bibi zako vijijini waendelee kuwa na macho mekundu na kuumwa vifua sasababu ya Moshi .ujinga mzigo RIP MAGU
Kupikia umeme uogo
Watu wenyewe wa mijini matajiri wanatumia majiko.ya gesi.

Ndio vijijini watumie umeme kupikia?

Jengeni hoja za kueleweka

Subsidy kubwa iwekwe kwenye gesi ya kupikia

Hizo porojo za kusema ohh watapikia majiko.ya umeme vijijini ni uongo uliopitiliza
 
Back
Top Bottom