Leo ndio nimejua kwanini wanawake wanajiingiza katika tabia za udangaji

Kwa aambao hamjui kozi ya maendeleo ya jamii yaani Development studies (DS) ni kozi mpya ipo UDOM na UDSM kwa ngazi ya degree

Nafikirii hapo tufunge kurasa kama huelewi nenda google
Course mpya na wewe ulisema umemaliza chuo una miaka miwili nyumbani na ulimalizia Mzumbe..hahaha
 
Weka namba pm dogo nikuchangie nauli ya kazini
 
Sasa ndugu si uachane na uzi wa wasio na akili mbona unaniganda!!

Kama unanifahamu si utume picha yangu ili uwathibitishie watu

Sema nini nilichogundua wewe una roho mbaya [emoji120]
Me kweli roho mbaya ninayo, hujakosea. Lakini ni watu kama wewe ndo mmenifanya niwe na roho mbaya kwa sababu wengi wenu sio wa kweli. Duniani hapa mmetufundisha ukatili sana. Kwanini mdanganye kwenye maswala serious..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…