Namuona anacheka Cheka[emoji23][emoji23][emoji23] shangazi wee unatania, hauko serious
Tafta chumba Magomen cha elf 30,ambapo hulipi nauli chakula cha usiku elf 2.Nyumban utaenda ijumaaNauli 3000 x 30 = 90,000
kula 2000 x 30 = 60,000
jumla Tshs 150000/-
baki 100,000/-
pangia huko nyumbn , nenda kapange huko kazn life simple
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Namuona anacheka Cheka
Mjumbe hauwawiii!!!
Kwa hisani ya wafukua makaburi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2986177
Kaangalie ile show vzr utaona kadogoo anachokifanya nilimuelewa sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zinauma wallah
Bas sorry mahiii, mie nimepewa niiweke humu.Dear uwezi kufungua code zote humu maana kuna baadhi ya watu tunafahamiana Nao humu so wakati mwingine tunabadilisha wahusika, mahali hata majina
Leo nimesema nipo kenya kesho nitakuwa TZ hiyo haibadili maana ya ninachokisema
Tatizo watu tunazingatia mambo ya kipuuzi kuliko ya msingi
Ikitokea mtu ameomba CV yangu basi yeye ndio atajua wapi nilizaliwa na wapi nilipo, siwezi kujiexpoziii kila kitu Jf Kuna wenginee wakisoma tu wanajua huyu ni mtu fulani so be positive binti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiiKaangalie ile show vzr utaona kadogoo anachokifanya nilimuelewa sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahWewe ujinga ulio nao ni kuzani wote hapa ni mbumbumbu.
-Toka mwanzo nilijua na nikasema lengo lako ni watu wajae pm, always ndizo njia zako kutafuta attention maboya wajae king.
- Uwe unabadilisha hata namba unazotuma, usizirudie.
- Sijawahi saidia omba omba wa jf
- Wewe unaendeleza thread zako za kutafuta attention ili ufatwe pm, kuazia ulivyokimbiwa guest huko mwanza, kumaliza chuo mzumbe, na hatimae leo umeleta hii.
- Nilishakwambia, wewe ni shoga wala sio mwanamke kama unavyojifanya.
Kunywa maji paragraph ndefu umeandika dadaVidada vya dizaini hii ndio tunapigianaga pasi za kina gaucho... Eti mwanamke asili yake kupokea sio kutafuta wenzio kibao wanapambana nowadays... Eti ooh tafuta sponsor wa nyoli nyoli... Afu ndio utake haki sawa kwa wote??? Haki na jala yangu umekula... Yaani Itakua kama nachinja kuku
Haya kaka kila la kheriAisee..! Nikifika wakati wa kuhitaji kuoa nitaongea na wazee wanitafutie mwali kijijini
Kadogooo on the stage 😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiii
Ukiwa muongo uwe na kumbukumbuSasa mimba alitoa au alizaa? Halafu kumbe alisoma MU sio Udsm tena? Mbona anatuchanganya kadogooo namna gani 😂
Wewe ujinga ulio nao ni kuzani wote hapa ni mbumbumbu.
-Toka mwanzo nilijua na nikasema lengo lako ni watu wajae pm, always ndizo njia zako kutafuta attention maboya wajae king.
- Uwe unabadilisha hata namba unazotuma, usizirudie.
- Sijawahi saidia omba omba wa jf
- Wewe unaendeleza thread zako za kutafuta attention ili ufatwe pm, kuazia ulivyokimbiwa guest huko mwanza, kumaliza chuo mzumbe, na hatimae leo umeleta hii.
- Nilishakwambia, wewe ni shoga wala sio mwanamke kama unavyojifanya.
Kadogoo tili tili titititiiiii🎵Dume hilo halafu linaleta ujinga hapa.
Ananijua, nilimwandikia thread, mods wakaifuta na ndio chanzo cha kubadili id.
Inawezekana nimekuwa emotional kidogo kwasababu kamwe sijawahi kuwa, wala kufikiri kama mwanamke, ila maneno yako yanafikirisha sana.Pole sana ndio ulimwengu wa kike huo
Dah! 😅Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu
JF kama community; unashauri tufanyeje ili mtu mwenye uhitaji na ameona hii ni sehemu sahihi ya kusaidika asaidike?Wanaume wenye hela tupo lakini niamini mimi, mtu mwenye matatizo kama yake asingekuwepo hata JF saivi akiandika uzi kama zake. Mimi nikiwa na changamoto zangu za kawaida tu, JF siingii hata week, sembuse hizo shida kibao kama hizo...Muongo huyu.
Me hapa siondoki ili niokoe watu wema ambao unataka uwaibie.Nimesema ndugu Kama unaona nimedanganya si uweke hapa taarifa zangu yanini kuandikia mate!!
Yaani ni sawa na kusema wanawake ni mbwa kwa vile umeumizwa na mbwa mmoja
Siko hapa kubishana Kama unahisi nadanganya achana na huu uzi nenda kasome uzi usiodanganya mkuu ni rahisi tu