Leo ndio nimejua kwanini wanawake wanajiingiza katika tabia za udangaji

Nauli 3000 x 30 = 90,000
kula 2000 x 30 = 60,000
jumla Tshs 150000/-
baki 100,000/-

pangia huko nyumbn , nenda kapange huko kazn life simple
Sasa hana bill ya maji? ya Umeme? vp hapo nyumbani hajipikii? kama amepanga vp kodi ya pango halafu umesahau bando au hapigi cm? Ke wana mahitaji nyeti kila mwezi "mshahara" hilo unaliwekaje kwa mfano au
 
Pole sana,maisha ya Dar kama ndio unaanza maisha ni kazi sana,lkn utazoea, endelea kukomaa na kumshirikisha Mungu ili akupe hekima usije ukaingia kwenye kutafuta pesa kwa njia zisizofaa...
 
Natamani kufanya hivyo ila kuna watu humu wanaweza kutumia namba yangu kunikejeli
Tafuta namba ya wakala wa karibu ambaye mnaaminiana nae.. Then mpe mtu anaekuja DM ili akutumie then akupe jina alilotumia kupokea na kiasi.. Hii itakuwa nyepesi tu

Kingine pole sanaa sanaa.. Naweza kuelewa unachopitia ndio maana wengine hatujawahi omba msaada kwa ndugu kuepuka dissapointments au kuonekana mizigo.. Inshort unafundishwa maisha
 
1.wewe umesema Mama yako anapika tu chapati za maji,bado unalaumu kuwa hajakuachia hela.sasa yeye anaitoa wapi kama wewe unashindwa?
2.Umesema unapewa 250K,ambapo nauli na chakula kwa siku unatumia 5K wastani kwa mwezi ni 150K ukisema uchukukue 50K uwe unakula jioni nyumbani,uakuwa na uwezo wa ku serve 50K kwa mwezi .Iwapo ukaamua kujibana kwa miezi 3 utakuwa na akiba ya 150K,na ukifanikiwa utaona mambo yanaanza kwenda.

90% ya Watanzani wametokea katika familia kama yako,acha tamaa ya kutaka vitu usivyo na uwezo nao.utaidhia kufa kwa ukimwi.
 
Weka staili yako ili aweze kujihudumia
Kwani hakuna fursa nyingine? e.g. Hapo kazini kwake hawezi kuanzisha mobile retail service ya chai n.k. i.e akiamka asb. anaandaa chai yake safi, nzito na vitafunwa then anajibebea kwenda nayo kazini na ikifika tea break anawadaka wadau. Akiweza kumake 500 per day kwa mwezi faida ni 15,000/= - sio haba kuliko kudanga mtoto kama huyo na elimu yake.
 
Atunze 50k na hayo mawigi unayaweka wapi?
 
Hayo mawe unayorusha taratibu mtavunja vioo vya madirisha
Mara sijui mapenzi yanamtesa, mara sijui nini..
Mtu anayeteseka na maisha kiasi hicho hawezi kuwa anashinda JF anaandika visa kwenye uzi kuhusu mapenzi, huyo bado hajateseka vizuri na most probably ni muongo. We have been here too long to be scammed that way. Jichanganyeni tu mumchangie hela ya kulewa mwanaume wa dar
 

Ndugu soma bila kuwa na hisia negatieve nimesema siwezi kumsumbua mama hana hela

Ndio naanza kazi sijalipwa natoa wapi hela hiyo

Hiyo elfu 2 nakula mchana maana usiku nakula kwa bro
 
Eti eeh! Kashakwambia anafanya kazi gani?
Je, huyo boss wake atakubali afanye kazi juu ya kazi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…