Leo ndio nimejua kwanini wanawake wanajiingiza katika tabia za udangaji

Leo ndio nimejua kwanini wanawake wanajiingiza katika tabia za udangaji

Dear sijapokea mshahara Ndio kazi naanza nina siku 10 tu

Ndio maana nikaomba support ya nauli mpk nipate mshahara
Mkope mtu yeyote hapo nyumbani unapoishi kwanza umesema tabia yako ni nzuri na unaheshimika. Mfuate mama mtu mzima jirani umwombe mkopo na umuekeze vizuri atakuelewa. Ukishindwa kupata hapo nyumbani mkope mwenzako kazini unayefanya naye sehemu moja atakupa.
 
Wanaume wenye hela tupo lakini niamini mimi, mtu mwenye matatizo kama yake asingekuwepo hata JF saivi akiandika uzi kama zake. Mimi nikiwa na changamoto zangu za kawaida tu, JF siingii hata week, sembuse hizo shida kibao kama hizo...Muongo huyu.

Shida ni kuwa unafikiri watu wote wenye changamoto basi wanazichukulia changamoto zao Kama wewe unavozichukulia

Mkuu dunia ina watu wengi na tupo tofauti katika kukabiliana na changamoto… shida nimepitia nyingi sana ila hii imenifanya kuomba ushaurii

Kuwa positive sio kila nyuzi unaona ni chai
 
Mwandiko wako una utata sana kamanda, unaandika kama me kabisa aisee.

Wenye nacho wakuchangie,ila jf ina unafki wa kiwango cha sgr ama kweli hii ni jamii.
Huyu angekua Me angepopolewa si mchezo, kajitambulisha kama ke, vijana wa hovyo wametaka namba, wamepewa sijui kama watachangia zaidi ya usumbufu.

Pm ya kijana itakua busy sana muda huu, simu zitapigwa, kuna kajamaa pale juu kamejitolea kummliki kabisa ati kapo temeke sijui, alooo kufa kufaana.
 
OK. Vip katika eneo lako hakuna fursa za Bob a job? e.g. watu wanaohitaji kuoshewa vyombo, kufuliwa nguo, kufanyiwa usafi - kazi hii waweza kuifanya kama part time ukitoka kazini. Hii ukipata 1000 kwa siku; kwa mwezi utatengeneza 30,000/= (Hapo usiangalie elimu au status quo)

Kazi natoka saa 1 naingia saa2 nyumbni nafika saa 4 napumzika jmosi tu… nilikuwa nauza maandazi ila sasa hivi muda sipatii narudi nimechoka sana

Nilisema nifanye angalau miezi 6 nitafute mtaji
 
Hivi umejaribu kuwaza kwa upande mwengine wa hio kauli?. Huyu kaka ana familia yake pia anasaidia mama yake na wewe pia unakwenda kula hapo.

Fikiria upande wa mkewe pengine nao ana saidia pia hapo majukumu yamemzidi kuliko uwezo wake. Ni kweli kauli sio nzuri aliotoa kwako lakini pengine yeye mwenyewe ana matatizo zaidi yako lakini kaamua kufa kiume na shida zake. Ukiona mwanaume anatoa kauli kali kwa familia ujuwe majukumu yamzidi
 
Kwa nn huyu dada swali la amesomea nn analikwepa, tafadhali watu sitisheni hiyo miamala mpaka aseme nn kasomea isije kuwa watu tunapigwa hapa........akisema kasomea nn pengine wadau twaweza mpatia hata ofa ya kazi nzuri zaidi.

Ndug Hakuna muamala ulioingia kwanza

Nimesoma DS mnaendeleaje ya jamii udsm
 
Hivi umejaribu kuwaza kwa upande mwengine wa hio kauli?. Huyu kaka ana familia yake pia anasaidia mama yake na wewe pia unakwenda kula hapo.

Fikiria upande wa mkewe pengine nao ana saidia pia hapo majukumu yamemzidi kuliko uwezo wake. Ni kweli kauli sio nzuri aliotoa kwako lakini pengine yeye mwenyewe ana matatizo zaidi yako lakini kaamua kufa kiume na shida zake. Ukiona mwanaume anatoa kauli kali kwa familia ujuwe majukumu yamzidi

Sawa ila duuh kauli ngumu
 
Kazi natoka saa 1 naingia saa2 nyumbni nafika saa 4 napumzika jmosi tu… nilikuwa nauza maandazi ila sasa hivi muda sipatii narudi nimechoka sana

Nilisema nifanye angalau miezi 6 nitafute mtaji
Unafanyia kazi Private enterprises au
 
Leo nimeumia sana sijaenda kazini Nina siku 2 sina nauli hela niliokuwa nayo akiba imeisha nimemuomba bro kasema yeye hana hela hawezi kuwa anatoa hela mara mbili mbili kwa familia yake na kwangu, Kama niliweza kutafuta kazi basi nijitegemee nauli nikitaka kula nije nyumbani,, nikamuuliza sasa nitatoa wapi na Ndio naanza kazi akanijibu nitajua mwenyewe
Kama huyo kaka ako yupo humu JF akiona huu uzi ataugua na atajirudi sana. Inaĥuzunisha sana hii.

Itakuwa alihisi unayo pesa ila unataka kumchomoa tu kama kawaida ya wanawake
 
Back
Top Bottom