- Thread starter
- #121
Mwandiko wako una utata sana kamanda, unaandika kama me kabisa aisee.
Wenye nacho wakuchangie,ila jf ina unafki wa kiwango cha sgr ama kweli hii ni jamii.
Huyu angekua Me angepopolewa si mchezo, kajitambulisha kama ke, vijana wa hovyo wametaka namba, wamepewa sijui kama watachangia zaidi ya usumbufu.
Pm ya kijana itakua busy sana muda huu, simu zitapigwa, kuna kajamaa pale juu kamejitolea kummliki kabisa ati kapo temeke sijui, alooo kufa kufaana.
Hakuna muamala mpk sasa
