The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,397
- 9,255
Katika kipindi ambacho watu wameitembea JamiiForums basi ni jana na leo kwa sababu updates zote zinatoka humu na kusambaa kwenye mitandao mingine.
Pia leo ndio umeonekana umuhimu wa kuwa na ID kuna watu walikuwa wanadharau na kusema nitakua nasoma tu mada zinazowekwa bila kusahau kuwa imewekwa limit, sasa leo kaperuzi sana ikafika mahala ikawa mpaka ujirejista ndio uendelee kupata kuhabarika.
UMUHIMU UMEONEKANA
Pia leo ndio umeonekana umuhimu wa kuwa na ID kuna watu walikuwa wanadharau na kusema nitakua nasoma tu mada zinazowekwa bila kusahau kuwa imewekwa limit, sasa leo kaperuzi sana ikafika mahala ikawa mpaka ujirejista ndio uendelee kupata kuhabarika.
UMUHIMU UMEONEKANA