Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ukiji rejista leo unakuja kupewa email baada ya uchanguzi kuisha!
Katika kipindi ambacho watu wameitembea JamiiForums basi ni jana na leo kwa sababu updates zote zinatoka humu na kusambaa kwenye mitandao mingine.
Pia leo ndio umeonekana umuhimu wa kuwa na ID kuna watu walikuwa wanadharau na kusema nitakua nasoma tu mada zinazowekwa bila kusahau kuwa imewekwa limit, sasa leo kaperuzi sana ikafika mahala ikawa mpaka ujirejista ndio uendelee kupata kuhabarika.
UMUHIMU UMEONEKANA
ELUNGATA INVESTMENT.
tunakodisha jf ID's kwa bei nafuu
tunapatikana inbox
ELUNGATA INVESTMENT.
tunakodisha jf ID's kwa bei nafuu
tunapatikana inbox
nilisikia radio one asubuhi kwenye taarifa ya habari wanasema mitandao ya jamii imeathiri sana utendaji wa kamati kuu huko dodoma nadhani ni kweli , afu yule ndorobo sijui mtoto wa kambale eti cyber crime ushuzii wake yule
Wote mliochangia hii thread........kuanzia hapa ninapoandika kwenda juu.........mmekuja juzi juzi tu.........2010 kuendelea.........Karibuni sana........bado hamjaielewa vizuri JF..........subirini kampeni zianze............mtafrahi.........
So What???