Leo ngono itapigwa sana hapa Dodoma

Leo ngono itapigwa sana hapa Dodoma

ZigiZaga

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2011
Posts
951
Reaction score
1,072
Niko hapa JK Hall, nashuhudia kila mtu akishika mkono aliye wake na kuondoka naye.

Leo guest house zitawaka moto! Kuna jamaa mmoja toka Katavi kaniwahi kwa mjumbe mmoja toka Mbeya. Nilikuwa nimemuweka rada tangu jana, tumetoka tu ukumbini jamaa anae, nikawa mpole.
 
Hii inaitwa unaenda mkutanoni na majina mfukoni yani, da! 🤪 Mwenyekiti yupo busy na mkutano mkuu watu huku wanapigiana rada utafikili kuna vita,
 
Hujajua Tu
Moto Utaanza Kuwaka Kesho Maana Mkutano Unaisha Halafu Wasanii Wote Jamhuri Stadium
Kujipongeza Haraka

Mleta Mada Kwa Msaada Wako Nitafutie Mjumbe Mmoja Kutoka Zanzibar
 
Hujajua Tu
Moto Utaanza Kuwaka Kesho Maana Mkutano Unaisha Halafu Wasanii Wote Jamhuri Stadium
Kujipongeza Haraka

Mleta Mada Kwa Msaada Wako Nitafutie Mjumbe Mmoja Kutoka Zanzibar
 
Back
Top Bottom