Blessed Keinerugaba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,754
- 4,746
Usiku umeenda sana haujaangusha ndg mjumbe?Daah hadi wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiku umeenda sana haujaangusha ndg mjumbe?Daah hadi wewe
Hamna kitu mkuuNini tena Mkuu.
Bado hata usingizi haujiUsiku umeenda sana haujaangusha ndg mjumbe?
Mkuu unaniwazisha, funguka.Hamna kitu mkuu
[emoji16][emoji16][emoji16] Hamna mkuu nimeshangaa eti unataka partner aliyekuja kwenye mkutanoMkuu unaniwazisha, funguka.
Pole. Umepatwa na nn?Bado hata usingizi hauji
Nilikuwa kwenye sherehe ndio nimerudi muda si mrefu halafu kuna baridi vibaya mnoPole. Umepatwa na nn?
You never know .....[emoji16][emoji16][emoji16] Hamna mkuu nimeshangaa eti unataka partner aliyekuja kwenye mkutano
Ni kweli mkuuY
You never know .....
Nilikuwa kwenye sherehe ndio nimerudi muda si mrefu halafu kuna baridi vibaya mno
Pole kwa baridi, pole kwa uchovu wa Sherehe Mkuu...
Na MASISIEMU Mengi yameumia na UMEME yatasambaza sana "WAYA".Niko hapa JK Hall, nashuhudia kila mtu akishika mkono aliye wake na kuondoka naye.
Leo guest house zitawaka moto! Kuna jamaa mmoja toka Katavi kaniwahi kwa mjumbe mmoja toka Mbeya. Nilikuwa nimemuweka rada tangu jana, tumetoka tu ukumbini jamaa anae, nikawa mpole.
hapana nimeongea nae mpaka usiku mwingi kabisa nina imaji naeJidangaye mkuu. Labda hiyo simu upige kila baada ya dakika 10.