Kama upo Dom mkuu tutafutane...daah
Ukute anatetea Jimbo huyu Tena la chama tawala.anonymity ina raha sana, ona unavyojimwaga!
Haa😁😀😂Ndio mambo ya chama letu hayoo
Kama upo Dom mkuu tutafutane...
Hahaaaaaa, acha atest the difference[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nawaza anaeugaragaza moyo wangu yupo huko sijui anafanya nini saizi
nimeongea nae kwa video call yuko peke ake 😌😌Hahaaaaaa, acha atest the difference