Leo ngono itapigwa sana hapa Dodoma

Jana yenyewe maeneo ya Royal Village kulikuwa na show ya Christian Bella
 
Halafu Eti mtu anafanya ngono kisha akija kuugua Maradhi analia na kuwasumbua wanaouguza!

Starehe zako uje kuwasumbua wengine [emoji849]


Adui amepofusha fahamu zao , inasikitisha sana!
 
Halahala majuto ni mjukuu!

Kwa wale ambao bado hawajapata maambukizi!

Wale ambao wanao nazani hawana cha kupoteza ijapokuwa kitaalamu inashauriwa kuepuka maambukizi mapya!
 
sisiem wamemaliza malaya wote uhindini,
ngoja tuendelee kunywa bia tu cape town
 
Halafu kesho tusikie Sasa mtu kavamiwa saa saba za usiku Sijui kavunjwa mguu.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…