SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Pale kwenye ile post uliyonijibu yale maneno uliyobold ndiyo ulupojikanyaga, wewe siyo mvumilivu unachokoza mada kisha ukijibiwa vilivyo unapiga mayowe.Sitokuja kurudia kujenga utani wowote ule wa simba na Yanga na wewe aisee. Siyo kwa matusi haya.
Sasa hayo yanakujaje hapa?Ambaye ni Basha wako wa Kutukuka.
Lazima una laanaUsinipangie matumizi ya simu yangu,na hata wewe japo mjomba wangu ukibong'oa nakuweka
Sawa,laana yangu inafanya kazi ikiisha muda wake ya kwako ndiyo itakuwa inaanza na ndiyo hapo utakoma ubishi
Ila nimecheka Mtani eti kabisa umesema Ahsante. Lol.Asante.Ikifika na siku ya utopolo au losers uanzishe sledi.
cc;Shadeeya
Dua tu ndo itakuokoaSawa,laana yangu inafanya kazi ikiisha muda wake ya kwako ndiyo itakuwa inaanza na ndiyo hapo utakoma ubishi
Wewe subiria tu, mimi laana yangu bado mwezi mmoja ina exipire na wewe yako ndiyo itakuwa inaanza, kutesa kwa zamu
Lage ndiyo nani tena? Kweli huko wenye akili ni wawili tu, waliobakia wote ni mataahiraLage alikua mwamba kwelikweli yaani aliweza kutamka neno ilo katika mkutano mkuu wa matawi yote na akatoka salama!!,[emoji1][emoji1][emoji1]
Haijalishi uwe PhD holder au mpiga debe ukiwa Yanga unakuwa zero brain, so sad!
Mmebanwa kwenye kona ya kitanda mnaanza kuleta story za phd πHaijalishi uwe PhD holder au mpiga debe ukiwa Yanga unakuwa zero brain, so sad!
Ukiangalia michango yako kule na huu utopolo ulioweka hapa inasikitisha sanaMmebanwa kwenye kona ya kitanda mnaanza kuleta story za phd π
tuko kwenye jukwaa la michezo na hapa tunawajadili mapoda Fc.Ukiangalia michango yako kule na huu utopolo ulioweka hapa inasikitisha sana
Sawa nyani wa pori la Utopolo endelea kuzomeatuko kwenye jukwaa la michezo na hapa tunawajadili mapoda Fc.
Unanipangia cha kupost [emoji23]
Mapoda FC mmekamatika πSawa nyani wa pori la Utopolo endelea kuzomeaView attachment 2417550