Leo ni birthday ya Paul Makonda mkuu wa mkoa wa Dsm

Happy birthday RC Paul Makonda!

Source Clouds 360
Maendeleo hayana vyama.

Umeleta hapa aje atukanwe ama? Huku jukwaani unajua kabisa hana mvuto, lengo lako ni kutaka atolewe kejeli usikie raha. Peleka hii taarifa ikulu, kwenye taasisi za serekali na ofisi za ccm huko ndio kuna wanaomkubali. Hapa ulichofanya ni kama kutangaza siku ya nguruwe msikitini eti kisa kitimoto inapendwa na watu fulani.
 
Jaribu kutukana basi kama unaona ni rahisi kihivyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…