Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu ambariki mzee wetuHuwa inaadhimishwa kila mwaka kama sikukuu ya Sultani Jamshid wa Zanzibar.
Kama ulikuwa hujui basi jua kuanzia leo
Mungu ambariki, ila pia sio vibaya tukijikumbusha kuwaHuwa inaadhimishwa kila mwaka kama sikukuu ya Sultani Jamshid wa Zanzibar.
Kama ulikuwa hujui basi jua kuanzia leo
Aendelee kutia ubani muda siyo mrefu atarudishiwa himaya yakeHuwa inaadhimishwa kila mwaka kama sikukuu ya Sultani Jamshid wa Zanzibar.
Kama ulikuwa hujui basi jua kuanzia leo
Tena wakati wa uchaguzi anaongeza nguvu kazi ya kura kutoka Bunjumbura.Sultan wa Zanzibar ni Tanzania bara in case ulikuwa hujui!
Historia iko tujifunze na kujua yaliyopita, tuelewe hali tuliyo nayo na kupanga kesho njema ili tusirudie makosa. Hatuwezi kumfuta Sultan katika historia.Zanzibar bado kuna Sultani? Baada ya mapinduzi matukufu hakuna tena usultani.
Hii ndiyo shughuli pevu aliyofanya Sultan(Tanzania bara) huko Zanzibar wakati wa uchaguzi mkuu wa 2020 in case ulikuwa haujui👇Tena wakati wa uchaguzi anaongeza nguvu kazi ya kura kutoka Bunjumbura.
Wakati Sultan Bara anachukua madaraka Zanzibar, Dubai walikuja kufanya shopping Unguja. Sasa karibu duniani kote wanakwenda Dubai shopping au holiday.Hii ndiyo shughuli pevu aliyofanya Sultan(Tanzania bara) huko Zanzibar wakati wa uchaguzi mkuu wa 2020 in case ulikuwa haujui👇
View attachment 1909509
🤣🤣🤣Wakati Sultan Bara anachukua madaraka Zanzibar, Dubai walikuja kufanya shopping Unguja. Sasa karibu duniani kote wanakwenda Dubai shipping au holiday.
Kweli mfalme hakufukuzwa lakini Militia walikuwa njiani kwenda kumchukuwa.Mungu ambariki, ila pia sio vibaya tukijikumbusha kuwa
1. Mosi - baada ya yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Waarabu hawakufukuzwa bali walikimbia wenyewe, hata Sultan hakufukuzwa, amekimbia mwenyewe, na yuko Uingereza.
Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari
Wanabodi, Nafuatia makala maalum kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Januari 1964, zinazorushwa mfululizo na Idhaa ya KIswahili ya BBC kila siku kuanzia 1:00-1:30. Katika kipindi cha leo, Mmoja wa askari aliyekuwa zamu ikulu ya Sultani, kwa jina maarufu la Mzee Sukari, anasimulia first...www.jamiiforums.com
2. Baada ya kifo cha Karume, huyu Sultan alifurahia na kusherekea...
Kumbe Sultan Jamshid Alifurahia Kuuawa kwa Karume!. Alitaraji Kurejea Kama Sultani, Kumbe...
Wanabodi, Kwanza tazama na kusikiliza mahojiano haya kwa kituo!. Utangulizi: Somo la Historia ni somo la mambo ya kale kwa lengo la kujua yaliyotokea nyuma, kulinganisha na yanayotokea sasa, ili kujua kujua yale yatakayokuja kutokea siku za usoni!. Hivyo katika kuperusi baadhi ya video za...www.jamiiforums.com
HBD Sultan of Zanzibar
P
Mkuu amanij , sio mimi ndiye ninayaita Mapinduzi ya Zanzibar kuwa ni Matukufu, bali hill ndilo rasmi la Mapinduzi ya Zanzibar yanaitwa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar!.Halafu wewe unaita mapinduzi haya matukufu haya ni machafuzi.
Hapo wewe ni picha ipi?Hii ndiyo shughuli pevu aliyofanya Sultan(Tanzania bara) huko Zanzibar wakati wa uchaguzi mkuu wa 2020 in case ulikuwa haujui[emoji116]
View attachment 1909509
Wakati Sultan Bara anachukua madaraka Zanzibar, Dubai walikuja kufanya shopping Unguja. Sasa karibu duniani kote wanakwenda Dubai shopping au holiday.
Acheni kutukuza wakoloni tuliopambana kuwafurusha.
Si nasikia viongozi wakaanza kujitwalia 'kubaka' wanawake wa kiarabu? Hapo unakimbia bila kukimbizwa.Mungu ambariki, ila pia sio vibaya tukijikumbusha kuwa
1. Mosi - baada ya yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Waarabu hawakufukuzwa bali walikimbia wenyewe, hata Sultan hakufukuzwa, amekimbia mwenyewe, na yuko Uingereza.
Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari
Wanabodi, Nafuatia makala maalum kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Januari 1964, zinazorushwa mfululizo na Idhaa ya KIswahili ya BBC kila siku kuanzia 1:00-1:30. Katika kipindi cha leo, Mmoja wa askari aliyekuwa zamu ikulu ya Sultani, kwa jina maarufu la Mzee Sukari, anasimulia first...www.jamiiforums.com
2. Baada ya kifo cha Karume, huyu Sultan alifurahia na kusherekea...
Kumbe Sultan Jamshid Alifurahia Kuuawa kwa Karume!. Alitaraji Kurejea Kama Sultani, Kumbe...
Wanabodi, Kwanza tazama na kusikiliza mahojiano haya kwa kituo!. Utangulizi: Somo la Historia ni somo la mambo ya kale kwa lengo la kujua yaliyotokea nyuma, kulinganisha na yanayotokea sasa, ili kujua kujua yale yatakayokuja kutokea siku za usoni!. Hivyo katika kuperusi baadhi ya video za...www.jamiiforums.com
HBD Sultan of Zanzibar
P
It's true hili lilifanyika, ila ni ili kulipa kisasi cha mambo haya ambayo Mwarabu aliwatendaSi nasikia viongozi wakaanza kujitwalia 'kubaka' wanawake wa kiarabu? Hapo unakimbia bila kukimbizwa.