Leo ni: HESHIMA JUU kwa WANAWAKE!

Kha!!! mweh ngoja nifanye kautafiti nammimba mmoja then utafiti unaanzia hapo.

hebu nidodsee huo utafiti ni kwamba utadunga mtu mimba afu umtose kisha uone reaction au utafanyeje?????
 
Kiongozi Xpin hii thread iko makini na imekwenda shule!!,nashukru umelitambua hilo na kulileta hapa ili hawa wenzako wajue njisi tulivyo there for them,katika hali yoyote,Thanks again kwa kutuweka juu!!
 
hebu nidodsee huo utafiti ni kwamba utadunga mtu mimba afu umtose kisha uone reaction au utafanyeje?????

Good question! You Got awa fevarabo thing there!
 
kiongozi xpin hii thread iko makini na imekwenda shule!!,nashukru umelitambua hilo na kulileta hapa ili hawa wenzako wajue njisi tulivyo there for them,katika hali yoyote,thanks again kwa kutuweka juu!!
......!:d:d:d
 
hebu nidodsee huo utafiti ni kwamba utadunga mtu mimba afu umtose kisha uone reaction au utafanyeje?????

Napenda sana utafiti nianzie kwako sijui utaniruhusu?? maana itwakuwa man 2 man au sio bht?
 
Kiongozi Xpin hii thread iko makini na imekwenda shule!!,nashukru umelitambua hilo na kulileta hapa ili hawa wenzako wajue njisi tulivyo there for them,katika hali yoyote,Thanks again kwa kutuweka juu!!

Thanks Sugar! Please continue to be a good woman! Bila nyie, hii dunia ingekuwa matatizoni! You are making the world alive.
 
we are tokn of smone's life hapo!!!! afadhali kweli asijaribu huo ni uharibifu!!!

I will assist you counting your blessings! Well said mamushka!
 
Nashukuru kwa kulitambua hilo.
Lakini nakuomba uendelee kuelewa baba ndo kichwa cha familia.

Hawa malaika hawajawahi kulikataa hili; kwamba baba ni kichwa cha familia? wanalijua, wanalikubali wanaliheshimu, na wanalitekeleza tena kwa vitendo!
 
CHANA NYWELE HATA KAMA UNA KIPARA

......!πŸ˜€πŸ˜€dah!
 
we are tokn of smone's life hapo!!!! afadhali kweli asijaribu huo ni uharibifu!!!

Uharibifu kutupa ****** kiumbe kisicho nahatia lakini si utafiti bht kwani kuna ubaya???
 
CHANA NYWELE HATA KAMA UNA KIPARA

......!πŸ˜€πŸ˜€dah!


Mpwa naona unaiosoma kimoyo moyo tu hapo! lolπŸ˜€πŸ˜€

halafu vitu vingine usiulize..sasa unamuulizia Mamushka tena.....
 
Hawa malaika hawajawahi kulikataa hili; kwamba baba ni kichwa cha familia? wanalijua, wanalikubali wanaliheshimu, na wanalitekeleza tena kwa vitendo!

Hehehe mpwa wapo akina MJ1 na Nyamayao wanalikataa hili kata kata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…