Leo ni: HESHIMA JUU kwa WANAWAKE!

Leo ni: HESHIMA JUU kwa WANAWAKE!

Na sisi tunaangaika sana Cousin, au unasemaje?

Ni kweli kabisa kiongozi! Tunahangaika na mambo mengi. Mipombe na Kudumisha mila kwa sana! But they are always there for us! Wanatusamehe na kutuheshimu!
 
Najua uamuzi utakaouchukua si sahihi na wala hautajenga. Si uamuzi sahihi kwa mwanamke jasiri na mwelewa! Mna watoto lets say watano, utasema bye na watoto waparanganyike? Lakini hilo halijanitoa kwenye kukupa heshima yako! I salute you Pretty! Be a good girl!

......Ndio hapo mnapotufanyaga wanawake wajinga, mtu anakuvumila fujo zako zote, vituko vyako vyote.Itafika kipindi mwanamke huyu atachoka na kusema no. Unaletewa ukimwi ndani ya nyumba kwa ajli ya ujasiri na uelewa............mhhhhh hapo ni no.
Hata kwenye bible imeandikwa mnaweza kuachana iwapo mmoja wenu kafanya dhambi ya uzinzi.
 
YAAAH MAAN!
MSHIKI ALINIKUBALI NA BINTI YANGU sote kwa pamoja!....
love to all women

Mshiki namkubali! Kamwambie namheshimu sana eti! Likewise to my mama Matesha: Jeny asingekuwa ndani ya familia kama si uelewa wake!
 
Yaani nitasamehe mara 1,2 na ya 3 lakini ukiendelea na change direction, alafu wewe unapata msamaha mara zote hizo huachi tu ukwere wako, mnamatatizo gani wanaume?
 
......Ndio hapo mnapotufanyaga wanawake wajinga, mtu anakuvumila fujo zako zote, vituko vyako vyote.Itafika kipindi mwanamke huyu atachoka na kusema no. Unaletewa ukimwi ndani ya nyumba kwa ajli ya ujasiri na uelewa............mhhhhh hapo ni no.
Hata kwenye bible imeandikwa mnaweza kuachana iwapo mmoja wenu kafanya dhambi ya uzinzi.
kwakweli mama ninyi sio wajinga!

MIMI NINAWAHESHIMU WANAWAKE KULIKO MTU ANAVYOWEZA KUFIKIRIA.....

it is my mom who made MY LIFE!.....
 
hahahaaaa, NINI KUFUMANIA wewe??
unaletewa mtoto wa nje ya ndoa na UNASAMEHE!.
love to all women out there.

Mi nakwambia wanawake achana nao!
Siku hii nimeitenga kwa heshima yao!
 
Mshiki namkubali! Kamwambie namheshimu sana eti! Likewise to my mama Matesha: Jeny asingekuwa ndani ya familia kama si uelewa wake!
HEHEHEHE!
hapo bwa shee ndo ulipomaliza biashara!
HAPO PENYE BOLD HAPO
HAHAHAHAHAHA
 
deh deh deh! kaka krispini walikutoa mbio gesti nini usiku wa jana?

beki to ze topik: i love mai waifu kuliko US dollar
 
YAAAH MAAN!
MSHIKI ALINIKUBALI NA BINTI YANGU sote kwa pamoja!....
love to all women
Wifi alikukubali na binti maana alimkuta sasa kahangaike upate mwingine after 13/02 uone moto wake.
 
deh deh deh! kaka krispini walikutoa mbio gesti nini usiku wa jana?

beki to ze topik: i love mai waifu kuliko US dollar
HEHEHEHEHEHE!
dawa ya maralia huyooooooooooooooooo

MKEO KAJIFUNGUA SALAMA?
ila leo hatutaki offtopik
 
kwakweli mama ninyi sio wajinga!

MIMI NINAWAHESHIMU WANAWAKE KULIKO MTU ANAVYOWEZA KUFIKIRIA.....

it is my mom who made MY LIFE!.....

Mi sijui ningekuwa wapi kama si mama! Nakumbuka mzee ili kumwona ilikuwa lazima nimlie taiming ya kufa mtu. Asubuhi nadamka naweka kituo mlango wa chumba cha madingi.Akidamka Namlilia shida zangu ndo kinaeleweka! Muda aliokuwa anarudi ni Mama ndio anajua! Like wise to Matesha wangu, naweza kata siku tatu sijamwona! Halafu nani anasema mwanamke si wa kuheshimika?
 
Wifi alikukubali na binti maana alimkuta sasa kahangaike upate mwingine after 13/02 uone moto wake.
hehehe!
atapiga kelele weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
FAINALI ATANISAMEHE!...😀

MUNGU WABARIKI WANAWAKE

LAKINI SIWEZI FANYA HIVYO BWANA
 
Mi nina wasi wasi na kitu kimoja tu..hii kitu kweli imetoka kwa mtu wa valuer na serengeti? nabii atatoka kweli nazareti? si tunamfahamu huyu? mchumbawe si huyu nani hii hapa na wapwa zake si ndio kina Fidel80 Geof, PJ, na mabinamu kina bht, naniliu (sijui ako wapi), kina Aninna, Shishi, MJ1, na wengineo?

HUYU AMEPATA WAPI HEKIMA HII?
ni ngumu sana kuamini haya maneno!
ni kweli NABII HAKUBALIKI NYUMBANI.
huu huenda ukawa ni mwanzo wa mwisho wa dunia.
 
Mi sijui ningekuwa wapi kama si mama! Nakumbuka mzee ili kumwona ilikuwa lazima nimlie taiming ya kufa mtu. Asubuhi nadamka naweka kituo mlango wa chumba cha madingi.Akidamka Namlilia shida zangu ndo kinaeleweka! Muda aliokuwa anarudi ni Mama ndio anajua! Like wise to Matesha wangu, naweza kata siku tatu sijamwona! Halafu nani anasema mwanamke si wa kuheshimika?
Whaaaaaaaaaaaaaat?
 
deh deh deh! kaka krispini walikutoa mbio gesti nini usiku wa jana?

beki to ze topik: i love mai waifu kuliko US dollar

Hapana plasmodiam killa, ni jana kuna mdumisha mila mmoja alifumaniwa ukatokea mtiti wa kufa mtu! Lakini wakuu tukasovu mambo na usiku jamaa kanambia mtarimbo uliwekwa sehemu yake kama kawa! Ingekuwa njemba ndio imefumaniwa ile ndoa saizi ingekuwa imesharesti in Piis!
 
UKIWA UNAUMWA,it is a woman who will feel sorry for you and keep you closer siku zote

nakumbuka niliwahi mwagika na tukutuku mshiki alikuwa ananitengenezea mtori ambao sijawahi kuuona dar es salaam nzima
 
HEHEHEHE!
hapo bwa shee ndo ulipomaliza biashara!
HAPO PENYE BOLD HAPO
HAHAHAHAHAHA

Bwashee we acha tu! Namshukuru MUNGU kwa kuniozesha MALAIKA wake!
 
Back
Top Bottom