Buenos Aires
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,894
- 1,622
Nauliza tu king of football ni nani kama sio pele wa brazili basi utakua shabiki mandazi
Ronaldinho He is one of the greatest players I have ever seen.— Diego Maradona
Huu ubishani siuelewi unakua kwa kigezo kipi utawezaje kumfananisha ronaldinho aliekaa kwenye peak misimu isiyozidi mitatu na mtu ambaye huu ni msimu wa 10 jina lake liko juu katika ulimwengu wa soka kama kigezo ni ballon dor mbona ronaldinho anayo moja na mwenzake 5 kama ni kubeba UEFA mbona ronaldinho kabeba 1 akati Messi kabeba 4 na zinaendelea kama ni magoli ya ufundi Messi kwake beki 3 au 4 ni uchochoro kama ni kucheza na nesta Messi anacheza na kina Thiago Silva na Ramos Ronaldinho ni entertainer Ila sio complete footballer as Messi
Unazungumzia rekodi zipi?
Fifa hawana kipimo cha kupima "ball control capability"! Data zao ni za magoli, dribbling, nk
Tafuta mwenyewe clips za huyu mfalme ujionee! Acha kabisa!!
Messi ana World Cup ngapi?Huu ubishani siuelewi unakua kwa kigezo kipi utawezaje kumfananisha ronaldinho aliekaa kwenye peak misimu isiyozidi mitatu na mtu ambaye huu ni msimu wa 10 jina lake liko juu katika ulimwengu wa soka kama kigezo ni ballon dor mbona ronaldinho anayo moja na mwenzake 5 kama ni kubeba UEFA mbona ronaldinho kabeba 1 akati Messi kabeba 4 na zinaendelea kama ni magoli ya ufundi Messi kwake beki 3 au 4 ni uchochoro kama ni kucheza na nesta Messi anacheza na kina Thiago Silva na Ramos Ronaldinho ni entertainer Ila sio complete footballer as Messi
Messi hana ni finalist tu wa world cup, Naona unatumia World Cup kama sababu ya kutotambua uwezo wa Messi Ila huwezi kuwa na kigezo cha kuwa na world cup pekee kuita mchezaji bora kuliko wengine Unamzunguziaje Khedira au Toni kroos au denilson wa brazil waliobeba World Cup wao je ni bora kushinda Messi? Jibu ni hapana, Kuwa mchezaji bora wa dunia Mara 5 sio bahati ndugu kama wanavobahatisha wachezaji wako bora kunyanyua world Cup.Messi ana World Cup ngapi?
1Messi ana World Cup ngapi?
Hivi mkuu mbona unamchukia sana King mda mwingi nakuangaliaga post zako unavyomponda KingPele hakucheza Ulaya
Maradona hakubeba Champions League
Nesi hajabeba World Cup..
Happy Birthday Gaucho
Hivi mkuu mbona unamchukia sana King mda mwingi nakuangaliaga post zako unavyomponda King
Messi ana World Cup ngapi?
Hicho ni kigezo muhimuW/Cup ndio imekuwa sababu kwako? Tumia common sense kufikiri!
Mpka time hii sjashuhudia mtu kama dinho au kwa vle enz za kina maradona na Pele sikuwaona dinho in mwisho wa matatizo hats mungu akinipa mtt kwa badae jna la dinho lazma lihuske coz alifanya niupende mpra all the time
Acheni kumfananisha Rinaldinho na watu wajinga wajinga, Gaucho akishika mpira hadi malaika wanashangilia,mbinguni kunakua ni siku ya mapumziko.
Msimfananishe Ronaldinho na watu wajinga wajinga.