Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
- Thread starter
- #21
Hii sasa kufru.
Yuko sawa kabisa kwa mtazamo wake.
Kufuru yako wewe usilazimishe iwe kufuru kwa wenzako.Mourinho twende kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii sasa kufru.
DINHO ni mkali nasubiri kwa hamu 2014 najua atakua karejea kwenye form yake ya kawaida hata kama haitokua 100% jamaa ashikapo mpila hua nafurahi
Bwana Gang Chomba sina tatizo na mapenzi yako kwa Gaucho lakini usipotoshe watu kwa kusema kuwa Gaucho ndiye aliyeanzisha aina ya Mpira unaochezwa Barca.
Aina ya mpira wanaocheza Barca ndio falsafa yao ya miaka nenda rudi. Kwa hiyo pamoja na umahiri wa Gaucho, si yeye wala Maradona, Romario, Michael Laudrup, Hristo Stoichkov, Ronaldo de Lima, Guardiola, Messi wengineo waliopitia hapo waliifanya Barca icheze aina hiyo ya mchezo.
Bwana Gang Chomba sina tatizo na mapenzi yako kwa Gaucho lakini usipotoshe watu kwa kusema kuwa Gaucho ndiye aliyeanzisha aina ya Mpira unaochezwa Barca.
Aina ya mpira wanaocheza Barca ndio falsafa yao ya miaka nenda rudi. Kwa hiyo pamoja na umahiri wa Gaucho, si yeye wala Maradona, Romario, Michael Laudrup, Hristo Stoichkov, Ronaldo de Lima, Guardiola, Messi na wengineo waliopitia hapo waliifanya Barca icheze aina hiyo ya mchezo.
Mwenyewe aliwahi kutanabaisha kuwa Baba yake ndie Idol wake
Unachojaribu kufanya wewe ni kufananisha mwanga wa Jua na Mwanga wa Tochi...umeambiwa Dinho ni Mtume na Nabii wa mwisho wa Soka...Huyo Nesi abebe kwanza Wordcup.Gaucho alikuwa OK lakini angecheza kwenye generation moja na Messi angekuwa second or third fiddle kama alivyo Ronaldo sasa.Messi ni habari nyingine bwana.
Wapi nimesema St: Gaucho ndie alieanzisha aina ile ya mpira wa Barca?
RONALDINHO MADE BARCA...BARCA MADE MESSI...
Kisha Dinho the Saint akatua na kwenda kuiumba Barca hii ambayo leo hii inasifika na kuna watu wanatukuzwa pasipo kujuwa msingi wa Barca hii ya Sasa uliwekwa na akina nani.
Dinho akiwa Barca anakutana na Samuel Eto'o na Deco de Souza ambao kwa pamoja wanaanzisha kile kilichoshindikana na Louis Enrique, Louis Figo na Patrick Kluivert.
Hatimae Barca inakuwa timu ya kubeba Vikombe.
Akiwa Barca anafanikiwa kubeba Makombe mengi na kuufanya mchezo wa Soka kupendwa zaidi kutazamwa endapo tu yeye atakuwepo uwanjani.
There you have it.
ni kama dinho ndio alitengeneza mipira anaufanya mpira vyovyote atakavyo.dinhooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooMkuu naomba usiniharibie siku muhimu kabisa katika maisha yangu...plz
Naomba tuheshimiane.
Mkuu naomba usiniharibie siku muhimu kabisa katika maisha yangu...plz
Naomba tuheshimiane.
Unachojaribu kufanya wewe ni kufananisha mwanga wa Jua na Mwanga wa Tochi...umeambiwa Dinho ni Mtume na Nabii wa mwisho wa Soka...Huyo Nesi abebe kwanza Wordcup.
ni kama dinho ndio alitengeneza mipira anaufanya mpira vyovyote atakavyo.dinhoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo