M MULANGILA Member Joined Mar 20, 2012 Posts 20 Reaction score 3 Mar 26, 2012 #1 Habari wana JF, jioni ya leo kutakuwa na Mechi kati ya Man U ikipambana na timu ya Mwarabu,Fulham. Wana Man u tuiombee timu yetu ili tuzidi kuiacha Man City........NAWASILISHA
Habari wana JF, jioni ya leo kutakuwa na Mechi kati ya Man U ikipambana na timu ya Mwarabu,Fulham. Wana Man u tuiombee timu yetu ili tuzidi kuiacha Man City........NAWASILISHA
TWIZAMALLYA JF-Expert Member Joined Oct 1, 2011 Posts 397 Reaction score 81 Mar 26, 2012 #2 uzuri wa manu ni kwamba huwa hawafanyi makosa ya ovyo, fulham lazima wafe
white wizard JF-Expert Member Joined May 18, 2011 Posts 8,566 Reaction score 13,770 Mar 26, 2012 #4 leo inabidi man utd tufanye kweli,kwani stoke city juzi wame2saidia sana.
yegella JF-Expert Member Joined Nov 18, 2010 Posts 3,113 Reaction score 1,102 Mar 26, 2012 #5 Naomba mungu MANU wafungwa 2-1