Leo ni mechi kati ya man u vs fulham

Leo ni mechi kati ya man u vs fulham

MULANGILA

Member
Joined
Mar 20, 2012
Posts
20
Reaction score
3
Habari wana JF, jioni ya leo kutakuwa na Mechi kati ya Man U ikipambana na timu ya Mwarabu,Fulham. Wana Man u tuiombee timu yetu ili tuzidi kuiacha Man City........NAWASILISHA
 
uzuri wa manu ni kwamba huwa hawafanyi makosa ya ovyo, fulham lazima wafe
 
6853713976_d860900e66.jpg
 
leo inabidi man utd tufanye kweli,kwani stoke city juzi wame2saidia sana.
 
Back
Top Bottom