Uchaguzi 2020 Leo ni mwezi mmoja kamili toka kampeni zianze, CCM tu ndio inanadi Sera na Chama wengine wanajinadi wao binafsi kuwa nichague mimi

Watu hawana interest tena na sera sijui kwann
 
Hata kukujibu ni kupoteza mda tu

Sent from my Infinix X606B using JamiiForums mobile app
 
Ulichoandika hapa "umemsaidia mgombea wako kujibu hoja kule jukwaani?"hivi huoni mda unaenda Kasi sana "mwokoeni mkubwa wenu hoja nzito kila siku znaongezeka na hazjibiwi!! Munalipwa bure kabisaa!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Jukwaa LA kampeni sio jukwaa la midahalo kati ya mgombea wa chama kimoja na kingine ni kunadi Sera za chama kwa wananchi ili wao Siku ya uchaguzi waamue wachague nani?

Wewe na mgombea wako hamjielewi muda unayoyoma nadiini sera zenu hiki sio kipindi cha midahalo ya wagombea.CCM hatuna muda wa midahalo sisi ni kunadi sera zetu kwa wananchi full stop
 
Tunajiandaa kurejesha mchakato wa katiba mpya ili tupate mgombea binafsi wewe bado unakomaa na mambo ya vyama.
 
Tunajiandaa kurejesha mchakato wa katiba mpya ili tupate mgombea binafsi wewe bado unakomaa na mambo ya vyama.
Chadema wagombea wanajinadi utafikiri wagombea binafsi nichague mmi mimi mimi as if chama hakijawatuma
 
Ile chagua Magufuli ya 2015 imeyeyuka,Magufuli hauziki tena kwa wananchi aliowasababishia njaa,akawanyima na haki, akawaswaga kwa ubabe,vitisho na mijeredi kama mang'ombe yake ya Chato.

Hata hivyo CCM na Magufuli wao hawana jipya wanayarudia Yale Yale waliyoyasema miaka huko wakiwaziba midomo na kuwafunga miguu na mikono wapinzani wao. Bila ya matamasha ya wasanii mikutano yenu itadoda.
 
Waambie....Hivi Mbowe mbona haonekani kwenye kampeni au chama fulani kilishauzwa maana hata sera zao ni kama Madalali
 
Hamna sera kwa sasa Upinzani, mnaoshia kupiga mihayo tu ...Nchi sio SACCOS au kikundi cha Kikoba mmemiliki výama mnataka mmiliki na nchi kama viatu...No thank You!
 
Huyu kibaraka anajikomba sana jamani....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ....Tar28 kiherehere kitamuisha
Wakupimwa 👌wewe
 
Wakupimwa [emoji108]wewe
Democratic Union of Africa halafu General Secretary Mzungu....acheni kutuchora ...hata Libya ilianza hivyo hivyo.....!!Kajiuzeni nyie na familia zenu sio Tanzania...!!Tar28 sio mbali
 
Sera au burudani ya mziki? Hebu tuambie ilani ya CCM inasemaje kuhusu vitambulisho vya wajasiriamali na mgombea wenu wa CCM anasemaje?
 
Watu hawana interest tena na sera sijui kwann
Mbona sera zina-nadiwa sana tu na vyama! Wenye kuahidi barabara, shule, hospitali nk huwasikii? Wenye kuahidi maendeleo ya watu huwasikii?. Mwaka huu kuna tofauti kubwa ya sera kati ya ccm na chadema. CCM wanaendelea na sera za ahadi ya kufanya mambo kadhaa hasa ya vitu vitalavyooneka na kufanywa moja kwa moja na serikali. CHADEMA wanakuja na sera ya madaraka kurudishwa kwa wananchi huko waliko na ndio wawe huru kuamua mambo yao kwa raslimali zao, Kwa hiyo ahadi za barabara, shule, hospitali nk utazisikia kidogo sana kwani wananchi ndio wataamua mambo yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…