hapa sijui kama nimesoma vizuri ama nahitaji safety goggles<?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-comπ±fficeπ±ffice" /><oπ></oπ>
:confused2::becky:
very nice experience.Omomimba ni nzuri ndio maana leo hii unatupigia keleleVipi, nawe ushaanza kutema mate hovyo? Ukiona hivyo ujue mambo ya beautiful Omotora yamehamia kwenye beautiful Omomimba!
Hv kweli huyu SIBIZEDI ni nani jamani?...Mi jana nilimjibu maneno ambayo lau ningekuwa namjua nisingefanya hivyo!jamani hizi ID zinatuchanganya sasa, hebu mwambie anisalimie pm, mpaka sasa mie cjamtambua CBZ ni nani walaah.
Hahahahaha! nakumbuka enzi zako za barbra mpaka mjukuu wangu MJ1 alikuomba urudi uendelee kuwa nyama yetu!
Vipi, nawe ushaanza kutema mate hovyo? Ukiona hivyo ujue mambo ya beautiful Omotora yamehamia kwenye beautiful Omomimba!
Long tym ago utakuja kwenye Baby shower?
hahaha huyu Asprin si mzima kabisa picha zenyewe za kawaida kabisa :becky:
Tupumzike kidogo na uchaguzi ...
Sijapenda usafiri wake, miguu iko kama fito ama huwa tunaita container njuu ya chelewa! Mambo ile nyingine imetulia
Tupumzike kidogo na uchaguzi ...
Pia nusu ya dhambi watakazozitenda kina Kimey, Kaizer, Teamo, Fidel, The Finest, Bigirita, Next level, Acid,Dark City, Dreamliner. Klorokwini,Maxence , Roya Roy, Invisible, Maskini_Jeuri na wanachama wote hai wa Infidelity Social Club zihamie kwa FL1.
hahaha huyu Asprin si mzima kabisa picha zenyewe za kawaida kabisa :becky:
karembooo
Omotola napenda uigizaji wake, pia ukiacha ana watoto 3 au 4 ila bado yupo safi!
Asprin hujatenda dhambi, umepunguza protini kama sikosei!..pole sana:becky::becky: