Leo ni ndoa ya Diamond na Zari?

Leo ni ndoa ya Diamond na Zari?

Hivi yule dogo babu Tale anajitambua kweli? Mwenziwe Aunt Ezekiel alijitambua mapema wakati anabebeshwa mikoba na Wema akatimua zake, haka kajamaa bado kapo tu kanapigwa vidole huku kakichekelea, hivi hana ndugu wa kumuhamsha? Mwanamme mzima na mavuzi tele mpaka mkunduni utakuwaje mpambe wa mwanamme mwenzio?
 
Kama namwona Mange kimambi atakavyotokwa povu. Utadhani zari na diamond ndo wamemwachanisha na mzungu.
 
Mtume SAW alisema, Ndoa ni katika sunna yake ! na ni sunna ya lazima na asieoa SI KATIKA MIMI !!! Kama kweli Diamond ameamua kuoa basi hongera kwake japo amefanya zinaa sana sana! LOh! atubu kwa Mola wake na asifanye tena Zinaa! Maana alikuwa akiifanya zinaa waziwazi !
Ata yako unayofanya kwa kujificha nayo ni zina tu mkuu, wala akuna tofauti hapo
 
Anaolewa au wanacheza video ya wimbo?
Anaolewaje nyumbani kwa diamond?
Mwanamke wa kiislam najua ndoa ni kwao, [emoji3][emoji3]
Wazazi ndugu wapo wapi[emoji108][emoji108][emoji108]
WAPAMBANE TUU NA HALI ZAO HAMNA KIKI HAPA.
BTW hata akiolewa kuna mke wa 2 wa 3 hadi wa 4 labda ajivunie kuwa bi mkubwa
Naona unamwonea wivu mwenzio haya kaolewe na wewe sasa
 
Back
Top Bottom