Teh Teh hili fungu lote la nyanya kisa umesikia kuna ndoa ya Diamond na Zari?
Naona mmekuja kupumzisha kichwa huku, poleninna majukumu ya kule kwingineHizo zitakuwa sreenshots za video aliyorusha snapchat.. na nimeona baada zina ka mwendoooo
Naona mmekuja kupumzisha kichwa huku, poleninna majukumu ya kule kwingine
Ata yako unayofanya kwa kujificha nayo ni zina tu mkuu, wala akuna tofauti hapoMtume SAW alisema, Ndoa ni katika sunna yake ! na ni sunna ya lazima na asieoa SI KATIKA MIMI !!! Kama kweli Diamond ameamua kuoa basi hongera kwake japo amefanya zinaa sana sana! LOh! atubu kwa Mola wake na asifanye tena Zinaa! Maana alikuwa akiifanya zinaa waziwazi !
Naona unamwonea wivu mwenzio haya kaolewe na wewe sasaAnaolewa au wanacheza video ya wimbo?
Anaolewaje nyumbani kwa diamond?
Mwanamke wa kiislam najua ndoa ni kwao, [emoji3][emoji3]
Wazazi ndugu wapo wapi[emoji108][emoji108][emoji108]
WAPAMBANE TUU NA HALI ZAO HAMNA KIKI HAPA.
BTW hata akiolewa kuna mke wa 2 wa 3 hadi wa 4 labda ajivunie kuwa bi mkubwa