jerry wa somi
Member
- Mar 17, 2014
- 16
- 9
Leo ni siku ya furaha kwangu na kwa wanasua wote kumpata kiongozi tunayemwamin,mtunayempenda ,tuliyempa dhamana ya kuwa rais katika chuo chetu.
Kumbuka sera zako ahadi ulizo wahaidi wanasua pamoja na mabadiliko katika mfumo mzima wa serikali yetu. Ni shukrani zangu za dhati kwako kwa kuweza kuvumilia yale yote yalioibuka wakati wa kampen, we believe in changes.
Asante sana,
Kumbuka sera zako ahadi ulizo wahaidi wanasua pamoja na mabadiliko katika mfumo mzima wa serikali yetu. Ni shukrani zangu za dhati kwako kwa kuweza kuvumilia yale yote yalioibuka wakati wa kampen, we believe in changes.
Asante sana,