We dogo tafuta mwingine, huyu ni Mjukuu Mtiifu kwa Babuye
hebo soma signecha yake kwa ufafanuzi zaidi.
Happy Valentine X-mchumba!
You got it dearest!!!
Lollypop and some milk-way choco!!!
We dogo unajitafutia kufariki dunia?Babu, huyu n-jukuu kaniletea maua ya waridi mazuri rangi nyeupe na nyekundu sasa na mimi nalipiza kwa shairi.
Halafu we babu nishakueleza achana na wajukuu warembo, chukua wale wenye sura ka maharage yaliyoungulia tu
Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana. Karibu nyumbani kwa babu ewe mjukuu wangu unayejali bila malipo...Carefree.....!Babu wajukuu nao unawagawa kwa makundi yani wako unaowajali na kuwakumbuka na kuna sisi wa kambo au wa kufikia? Nakuombea hiyo dhambi ya kututenga ikutoke
We dogo mbona unafuatilia maslahi ya babu namna hii? You have been warned!Hivi babu una maX wangapi?!! Hivi kweli ulianzaje-anzaje kumrubuni mrembo kama huyu?? Nitakuripoti ABYUZ kama utajifanya kidume cha mbegu wakati kumbe ni kibabu cha kababu
Ohooo!!! YesThe Following User Says Thank You to The Finest For This Useful Post:
Lizzy (Today)
Mhhhh it's as if you were reading my mind!!!Tukimaliza tunaenda kupunga upepo baharini kidogo!!!:coffee:
Babu nitachelewa kufika, usininyime pipi ehh
nitakuletea karanga babu ili ukomaze meno.
Japo unamtaka mmoja wa kunywa mvinyo itabidi utoke upokee karanga.
Yessssss babu yani umeniiiii furahisha sana please naomba niwe wako wa mvinyo na kila kindo
:horn::coffee:
Lizzy hiyo avatar mmmmmh . . .
Hili li-sredi limekaa kibepari, kikabaila na mbaya zaidi kubeberu
Selfish is aspirining! and is below expectations
am out!
Ohooo!!! Yes