Leo ni Siku ya Babu na Wajukuu......Karibuni!

mmmmnh yaani hata mie nimesahaulika...ama kuna wajukuu wa ndani na wa nje jamani!!! Umesahau wakukufunika blanketi basi!!!
 
Nyie watu mna kesi ya kujibu!

haa!!!!! babu vipi tena hiyo kesi imefunguliwa mahakama ipi? na ni nani aliyetuonea wivu mie nawewe? he mwambie simuogopi hata!! labda aje KIMEY ndio nitasarenda :A S thumbs_down:
 
Basi naja na kwa kuwa umechelewa kunikaribisha nikija unipendelee japo nikuchumu kwenye upara kisha nikugee kifuko cha miwa kwani roses zimekwisha zilizobaki ni za zambarau

Polee1!!! ila ukija utanikuta hivyo mie ndio nitapokea kifuko cha miwa ,na kukagua kabla babu haja onja. poa?
 

I will be the first Babu.
 
Wajukuu zako wote ni bla bla tupu hakuna hata dhawadi kwa babu, nimechelewa lakini nimekuwa wa kwanza kumpa babu dhawadi, nakutakia siku njema ila leo nimeona nijitoe maana wajukuu vijana wanakuja kwa kasi si wazee ngoja tujiweke pembeni kwandha.
 
haa!!!!! babu vipi tena hiyo kesi imefunguliwa mahakama ipi? na ni nani aliyetuonea wivu mie nawewe? he mwambie simuogopi hata!! labda aje KIMEY ndio nitasarenda :A S thumbs_down:
Nani tena anakuchokoza my Love the nurse? πŸ˜›opcorn:
 
Happy Valentine guys

Note: guest house kwetu ni dharau tayarisheni mitoko kwenye hoteli zenye majina

πŸ™‚
 
Asante sana babu
kwa kuningojea
hakika nitafika
ua nimelibeba
chokulate mdomoni
kuiweka,
na busu matata kukupatia
lazima niwe wa kwanza kufika.
mkongojo kuubeba,
na ugoro kukunusisha.
 
Happy Valentine guys

Note: guest house kwetu ni dharau tayarisheni mitoko kwenye hoteli zenye majina

πŸ™‚
Mwalimu nimekutafuta kule kwenye Stress nikupe Valentine yangu cjamkuona!! Happy Valentine Mwalimu!
Hapo kwenye RED naona unataka kuanzisha thread ndani ya thread mi ngoja ninywe :coffee:
 
Mhhh,


Huyu babu anatisha kama Osama..Naamini aliumbwa siku yake peke yake!
 
Mwalimu nimekutafuta kule kwenye Stress nikupe Valentine yangu cjamkuona!! Happy Valentine Mwalimu!
Hapo kwenye RED naona unataka kuanzisha thread ndani ya thread mi ngoja ninywe :coffee:

ha ha ha ha,nimemsoma.....kazi kweli kweli!!!:laugh::laugh::laugh:
 
Kimey Hilo mbona lishajadiliwa hapa na tukakubaliana kuwa ni hivyo! πŸ™‚))

Siku hizi mambo kidogo yamekuwa tight mkoloni anamatatizo na mke nyumbani!
Asante kwa salam...... Kuchakachuana kwa aste aste
Mwalimu nimekutafuta kule kwenye Stress nikupe Valentine yangu cjamkuona!! Happy Valentine Mwalimu!
Hapo kwenye RED naona unataka kuanzisha thread ndani ya thread mi ngoja ninywe :coffee:
 

Aisee wee Maty!

Babu kwishalegea hapa wallah!
 
asante babu kwa ruhusa
na nikirudi sitakususa
kwa umakini nitajilinda
wasije mangumi kunidunda.
 
Asante sana babu
kwa kuningojea
hakika nitafika
ua nimelibeba
chokulate mdomoni
kuiweka,
na busu matata kukupatia
lazima niwe wa kwanza kufika.
mkongojo kuubeba,
na ugoro kukunusisha.
Unajua athari gani imenipata kwa Post yaki hii dada Remi? Nitafute mtaa wa pili kule.

Mhhh,


Huyu babu anatisha kama Osama..Naamini aliumbwa siku yake peke yake!

Hahaha........babu mdogo, kazi yetu ni kuwalea hawa wajukuu wasipotee njia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…