Labda kakuandalia bonge la surprise so anakutibua kwanza kabla hajakuweka sawa!haaaaaaaaaa.........
drama boy humuwezi yule!!!!
nilishakubali matokeo!!!
Kwenu wajukuu zangu wote,
Babu loves you all…….ila ninamhitaji mmoja....atakayewahi.... wa kunikata kucha, kunilisha ugoro, kuniletea mkongojo na kunibembeleza…..Nani anatajitolea kunywa mvinyo na babu, siku hii maalum ya kupendana?
Je ni Festiledi Au Arusha kwa Preta?
Je ni Waisiledi au Birungi utan'vuta?
Jee ni Elo Dii, au Jei Esi waniita?
Michelle wa juhudi, au Askofu ntak'kuta?
Mwanajamii wani, Afrodenzi unataka?
Lizzy ninakutamani, Desidii uhakika,
Au wewe Gaijin, Dena mimi nakutaka,
Lili flawa namba wani, Pearl usiwe na shaka.
DaMie na Lovenesi, Maty ninakupigia,
Niliham sina wasi, Leney nakwaminia,
Njoo kwangu we Smiles, Rose utanipatia,
Nyamayao usihasi,Roselyline nangojea
Kwini kami natamani, Remi ninakungojea,
Regia uko bungeni, waweza kwangu pitia,
Carmel wangu wa moyoni, Cheusi wanivutia,
Hata wewe Dalingtoni, wajukuu wote pia.
Kwenu nyie wapwa zangu,
Msione wivu kwangu,
Hawa wajukuu zangu,
Babu nimejisevia.
Hawa kwao nina nia,
Moyoni kwangu fungia,
Haja yangu kutimia,
Valentine niwe nao.
Narudi kitandani kumsubiri mjukuu atakayewahi!
Happy Valentine's day kwa wajukuu na wanachama wote hai wa JF jukwaa la MMU!
:hippie::lalala::A S-heart-2::A S kiss::A S thumbs_up::clap2::drum::msela::bange::welcome::welcome:
Yaani sis sijui what was i thinking nilipokuwa naandika anyway its just a spelling mistake i meant MKWE leo sijui nina matatizo gani
How about having lunch at Mediterraneon BeachHashy please don't!!I wanna hear you calling my dearest Elle coz she is your Valentine!
Enyi watu wote pigeni makofi
Enyi watu wote pigeni makooooofi,
Mpigieni Bwana Mungu wetu,
Mpigieni na Vigelegele.....
Babu loves you too mshikiiiiz!
Halafu wewe.....Li uzi linakimbia kweli sijui pa kuanzia,
Babu wajukuu wote wakimaliza waliochoahidi kukufanyia, mie nitakuwa wa mwisho nikupetipeti mpaka ulale ingawa haikuwa kwenye listi ni adishino.
HAPPY VALENTINE TO YOU ALL
Sounds just about perfect!!What should I wear!?How about having lunch at Mediterraneon Beach
Sikiza wasia wangu usijeachwa mjini
Mshike mkono uzungushe kiunoni
Usingoje valentini utayamshika ugoni
Mapenzi ni pumzi yahitajika duniani
Ukosapo mapenzi wajikuta taabani
Mapezi uwenayo ya awali na zamani
Tena yenye huba uyamwage hadharani
Labda kakuandalia bonge la surprise so anakutibua kwanza kabla hajakuweka sawa!
Enyi watu wote bigeni makofi,
Tumpigieni Mungu,
Pigeni kelele kwa sauti ya shangwee.
Kwa kuwa bwana ni mkuu na mwenye kuogofya,
Yeye ni Mungu mtawala wa milele,
Enyi watu wote pigene makofi.........
talaaaaaa, lalalaaaaaaaaa
Sexy short red dress, high heels and that shinny red lipstick on your lipsSounds just about perfect!!What should I wear!?
Thats the spirit dearest!Either way you win!Hajui hata surprise ni nini?? mi sitaki mdhania halafu isiwe....najipa raha mwenyewe!!!
Sexy short red dress, high heels and that shinny red lipstick on your lips
Lil red dress check...Black heals check but red lipstick will turn me into a clown bwana!Sexy short red dress, high heels and that shinny red lipstick on your lips
Babu yao unazeeka vizuri wewe,
Mababu wengine wakifika umri kama wako wanaanza kupoteza mvuto, wanapoteza kumbukumbu, lakini wewe ni kiboko.
Unashusha mashairi utadhani dogo janja, au ndo mambo ya ugoro?afu cheki ulivyokuwa na kumbukumbu na valentine day, kabla jukuuz na wapwaz hawajaamka we tayari ushawatupia maua ya upendo pale kati.
Upendo wa wajukuuz na wapwaz daima and alwayz kwako.
Happy valentine kwa wanaJF wote.
Li uzi linakimbia kweli sijui pa kuanzia,
Babu wajukuu wote wakimaliza waliochoahidi kukufanyia, mie nitakuwa wa mwisho nikupetipeti mpaka ulale ingawa haikuwa kwenye listi ni adishino.
HAPPY VALENTINE TO YOU ALL
samora10 hakikisha ugoro wa babu wanamchanganyia na kitu cha arusha au malawi
Kumshika kiunoni, Mama yako utaweza?
Siku hii valentini, Si kwa yule wamkaza,
Yoyote anayewini, Upendo unampoza,
Valentini siyo ngono, valentine kupendana.
Wangu leo valentini, Ni matesha mwana wangu,
Nimemuweka moyoni, namwombea wangu Mungu,
Aniweka furahani, Aongeza siku zangu,
Valentine siyo ngono, upendo kuonyeshana
mkuu nipo mbauda nafanya mixing ya nguvu.. leo babu raha anayo