Leo ni siku ya Chadema kulilia wakiongozwa na Mbowe wao

Leo ni siku ya Chadema kulilia wakiongozwa na Mbowe wao

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Ndivyo unaweza kusema kuwa sasa Chadema wageuka vibweka wa kudeka na kuropoka uongo acha tuwasikilize.

Nchi hii Ina wenyewe mtake mistake CCM ndio baba la baba na CCM ndio mama la mama.

Mtasubiri sana Awadhi Jua la Asubuhi Hana mzaha.

Chief Wadiz
 
Ni siku ya kuelekea matumaini na Furaha kwa ukombozi wa Taifa.

Inahitaji akili kubwa lakini kulijua Hili.
 
Ndivyo unaweza kusema kuwa sasa Chadema wageuka vibweka wa kudeka na kuropoka uongo acha tuwasikilize.

Nchi hii Ina wenyewe mtake mistake CCM ndio baba la baba na CCM ndio mama la mama.

Mtasubiri sana Awadhi Jua la Asubuhi Hana mzaha.

Chief Wadiz

Ndivyo unaweza kusema kuwa sasa Chadema wageuka vibweka wa kudeka na kuropoka uongo acha tuwasikilize.

Nchi hii Ina wenyewe mtake mistake CCM ndio baba la baba na CCM ndio mama la mama.

Mtasubiri sana Awadhi Jua la Asubuhi Hana mzaha.
Wewe bado mdogo sana kimawazo
Chief Wadiz
 
Ndivyo unaweza kusema kuwa sasa Chadema wageuka vibweka wa kudeka na kuropoka uongo acha tuwasikilize.

Nchi hii Ina wenyewe mtake mistake CCM ndio baba la baba na CCM ndio mama la mama.

Mtasubiri sana Awadhi Jua la Asubuhi Hana mzaha.

Chief Wadiz
Kwa hiyo ulivyoshiba mihogo ndiyo ukaanza kuandika huo ujingaujinga wako?Nenda kachambe sasa!
 
Siku za mwanzo mwanzo nilivyokuwa naiona ID Wadiz nilijuaga ni mtu mwenye Akili kubwa mwenye Kuweza kuchambua mambo na kuyatolea ufafanuzi. Daah nilikosea sana; Mjinga mimi
 
Siku za mwanzo mwanzo nilivyokuwa naiona ID Wadiz nilijuaga ni mtu mwenye Akili kubwa mwenye Kuweza kuchambua mambo na kuyatolea ufafanuzi. Daah nilikosea sana; Mjinga mimi
Inatakiwa uwe na akili pana kutambua kuwa comedy ni furaha ya maisha ukizoea spana kavu utaumia
 
Back
Top Bottom