Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Ndivyo unaweza kusema kuwa sasa Chadema wageuka vibweka wa kudeka na kuropoka uongo acha tuwasikilize.
Nchi hii Ina wenyewe mtake mistake CCM ndio baba la baba na CCM ndio mama la mama.
Mtasubiri sana Awadhi Jua la Asubuhi Hana mzaha.
Chief Wadiz
Nchi hii Ina wenyewe mtake mistake CCM ndio baba la baba na CCM ndio mama la mama.
Mtasubiri sana Awadhi Jua la Asubuhi Hana mzaha.
Chief Wadiz