Leo ni Siku ya kukumbatiana Duniani!

Leo ni Siku ya kukumbatiana Duniani!

oooooooooooops hapa ndani vip tena ?? naona hii siku inakaribia kuisha
 
Nami ningenda ku hug 1st Lady, lakini naogopa nisije kuwa kama jamaa mmoja aliye ona picha kwenda akakuta ni kizee chenye sura ya Fisrt lady mstaafu wa nchi fulani.
 
Nami ningenda ku hug 1st Lady, lakini naogopa nisije kuwa kama jamaa mmoja aliye ona picha kwenda akakuta ni kizee chenye sura ya Fisrt lady mstaafu wa nchi fulani.

yani uniogopi mkuu hawa watu nimewafanyia buking leo
 
Nami ningenda ku hug 1st Lady, lakini naogopa nisije kuwa kama jamaa mmoja aliye ona picha kwenda akakuta ni kizee chenye sura ya Fisrt lady mstaafu wa nchi fulani.

kichekesho ...age is a number .........................
 
Mimi naomba niwahug na kuwachum wafuatao
1.Babra
2.FL1
3. MJ1
4. JS
5.Pretta
6.Shemeji
7.Carmel
6. Pearl (Aramba)
7.bht(Mamushka lol)
8.LFlower
9......😉
10.Ziodaughter
11. Shishi

Love you all....mwaaaah!
 
na mm naku huuuuuuuuuuuuuuuggggggggggggggggggggggg
Mimi naomba niwahug na kuwachum wafuatao
1.Babra
2.FL1
3. MJ1
4. JS
5.Pretta
6.Shemeji
7.Carmel
6. Pearl (Aramba)
7.bht(Mamushka lol)
8.LFlower
9......😉
10.Ziodaughter
11. Shishi

Love you all....mwaaaah!
 
Mimi naomba niwahug na kuwachum wafuatao
1.Babra
2.FL1
3. MJ1
4. JS
5.Pretta
6.Shemeji
7.Carmel
6. Pearl (Aramba)
7.bht(Mamushka lol)
8.LFlower
9......😉
10.Ziodaughter
11. Shishi

Love you all....mwaaaah!

Mbona ka list kako ni wabeijing tuuu walioenda kwenye mapinduzi China ..
wanaume huwa hamu-hug eeh???
 
Mimi namhagi FARIDA na FARIDA tafadhali mhagi invisible.
 
Back
Top Bottom