Leo ni siku ya kumpumzisha aliyekatwa shingo na "wasiojulikana"

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
25,190
Reaction score
27,434
Umekuwepo mtindo wa watu kujiliwaza shida zao kwa ku-post picha za watu waliofariki. Unakuta mtu hana uhusiano kabisa na marehemu lakini katika njia ya kujiliwaza anapopata picha yake ana-share kwenye social media na kujifanya ni ndugu yake. Huu ni ugonjwa wa akili.
 
ukiona hivyo ujue amekosa cha kufanya mtu uliye busy huwezi shobokea msima wa mtu asiyekuhusu bila ruksa ya familia yake
 
Labda wa Ivo wanataka rambirambi
 
Lala panapo stahili shangazi
kwa vile swala lipo polisi ningekuuliza maswali kadhaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…