Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo mi najiombea kufiwa msiba sio?Umekuwepo mtindo wa watu kujiliwaza shida zao kwa ku-post picha za watu waliofariki. Unakuta mtu hana uhusiano kabisa na marehemu lakini katika njia ya kujiliwaza anapopata picha yake ana-share kwenye social media na kujifanya ni ndugu yake. Huu ni ugonjwa wa akili.
Ukiona hivyo ni wale wanaotafuta kuchangiwa zamani kulikuwa na jamaa wanatembeaga na picha kabisa na kidaftari na wana chukua helaukiona hivyo ujue amekosa cha kufanya mtu uliye busy huwezi shobokea msima wa mtu asiyekuhusu bila ruksa ya familia yake
Miradhi ya mali japo marehemu alikuwa mke wa pili na mpaka sasa mume amekuwa na umri umeenda kutembea ni shida na mume alirudi kwa mke wa kwanza huko rombo kabisa sema huyu mke wa pili yeye alikuwa kajengewa boma lake karibu na boma la mke wa kwanza sasa kuna tetesi zinasema mke wa kwanza katuma wauwaji ili watekeleze hivyo abaki na maliMiaka 55+ bad binadam wanawivu tu wa mapenzi?
Hapa unasemaje takbir!!Takbiur
Kwenda huko, Marehemu alikuwa ni mchepuko rasmi, (Sababu wakatoliki Wana ndoa moja tu) na tukisema tuhesabie wake Marehemu alikua mke wa tatu. Mke mkubwa ni Mzee na mpole Sana na Hana shida kabisa sababu mwanae ni tajiri laana. Mwache mama wa watu. Mke mkubwa ni mpole na mstaarabu Sana na ndo maana hata huyu mama alimchkua mume wake, na yule mama wa pili ameshafarikiMiradhi ya mali japo marehemu alikuwa mke wa pili na mpaka sasa mume amekuwa na umri umeenda kutembea ni shida na mume alirudi kwa mke wa kwanza huko rombo kabisa sema huyu mke wa pili yeye alikuwa kajengewa boma lake karibu na boma la mke wa kwanza sasa kuna tetesi zinasema mke wa kwanza katuma wauwaji ili watekeleze hivyo abaki na mali
Sasa mi nimeandika nini na wewe umeandika nini.Kwenda huko, Marehemu alikuwa ni mchepuko rasmi, (Sababu wakatoliki Wana ndoa moja tu) na tukisema tuhesabie wake Marehemu alikua mke wa tatu. Mke mkubwa ni Mzee na mpole Sana na Hana shida kabisa sababu mwanae ni tajiri laana. Mwache mama wa watu. Mke mkubwa ni mpole na mstaarabu Sana na ndo maana hata huyu mama alimchkua mume wake, na yule mama wa pili ameshafariki