shushushu_mchokozi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2016
- 405
- 265
HahahaUmeona ee? Hata huyu siku akiondoka tutagundua mengi mazuri
watu wenye akili na uwezo wa kufikiri na kutambua mambo watamkumbuka sanaSioni hata moja ulilofanya katika utawala wako zaidi ya kutupotezea miaka 10. Labda nikukumbuke maana babu Seya bado yupo ndani
Kama ulitumbuliwa kwa wizi,vyeti feki na upuuzi upuuzi mwingine huwezi kumkumbukaHahaha
Huyu sidhani, sina mpango wa kumkumbuka kabisa au ntamkumbuka kwa machache mnoo!
Kioindi chake si mlikuwa mnasema hafai?Happy birthday mr president jk
Mungu akupe afya njema na umri mrefu zaid
Ameeen
Hakika wewe n miongon mwa viongozi bora zaid barani afrika
ooLeo Oktoba 7 ni kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa ya Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete. Alizaliwa Oktoba 7, 1950. Amekuwa madarakani kuanzia tarehe 21 Disemba 2005 hadi tarehe 5 Novemba 2015.
View attachment 413694
Neno moja kwake.
U'r son of the bitch. Unatukana hadi wazee wako, **** wewe.