mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,274
- 6,257
Invisible tunaomba tuangalizie hizi id ya Beatrice 7 na Monicca then ukikuta sio id ya mtu mmoja nipe ban ya siku 3.kiroho safiiiMoniccca achana na marumbano mama hutawezana na watu wa mitandaoni fanya yako mbona bado asbh sana, Ina maana huna chakufanya mpa ukimbilie mtandaoni? Plz respect yourself that is too much
Jamani emu muacheni zninamashaka we wala hujaolewa ila umewekwa ndani weyee...
aliyeolewa hawezi kurupuka kihivi. na ninamashaka huenda game na huyo bwana wako haijakuendea sawia ndo mana umekurupukia humu angalao labda utapata nafuu.. UNALOOOOOOOOOOOO OOOOOOO!!!! SIKU 4!! Hahahahaaaa!!
Hahahahahaaaa acha tumfunze AMEKURUPUKA asavali ya wastara siku88Jamani emu muacheni z
inatosha sasa atakuwa amewaelewa
ningemjua huyo bwana wake ningemwambia apitie hapa afu ajiridhishe kama amefanya chaguo sahihi au lah!! ANABAHATI KWELI!!Jamani emu muacheni z
inatosha sasa atakuwa amewaelewa
MUMEOO??Utanifunza Mimi utaweza? Mi namuona kama mbw..aa asiye na mwenyewe kutwa majalala
BEATRICE7 amekuokoa MSHUKURUWakunivuta gagulo wa simuoni humu
Mkuu hawezi huyu kutulia ni shida nashangaa hata yule aliyeeleza kuwa anamfahamu na ni mpolwMoniccca achana na marumbano mama hutawezana na watu wa mitandaoni fanya yako mbona bado asbh sana, Ina maana huna chakufanya mpa ukimbilie mtandaoni? Plz respect yourself that is too much
Naona miss chagga hataki kukueleza. Ni vizuri kukuonyesha kwa vitendo. Endelea...... BOFYAMarinda ndiyo nini?
Yaan ni tatizo. Eti utandawazhahahaaa anafaa tum'batize ''WAKUKURUPUKA''
Aisee umeamka mapema leo. Hamja do jana usiku? Tusimulie habar za jana mlivyofanya basNa wewe umeliona eeh?
Hahahaha! Umenichekesha sana lkn kumbuka zama za utandawazi hizi..pole pale nilipokuaibisha