Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,784
Mimi nahisi huyu anatuchora,muda mwingi yupo online kujibizana na wanaomshauri na kumkosoa,huyu mume anakuwa naye saa ngapi?ni kama dume flani hivi lilikuja majuzi kati na thread kibao likijidai kuwa ni jike, mijitu mingine ni shida ndugu yangu.hapa mwenye alieokota huu MZIGO amekula shoti yaani hasara ya mwaka. hivii ndani ya siku 4 mambo ndo haya je akifikisha mwezi 1 itakuwaje?
akumbuke tu mashemeji, wifi zake wanamuona humu msg lzm itamfikia jamaa muda si mrefu tutasikia tangazo lingine kama hili alilotoa la SIKU 4 TU
kyakyakyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaawwe
wewe nawe una wivu! mwache mwezio aseme yote hapa! inaonekana Monica ni maji mara moja! hata sasa nikitaka kugonga ni ruksa!
MKUU yani hayo yote anayotapika humu yanasomeka wacha atapike tu MATAPISHI ATAKUJA JAMAA YAKE KUSAFISHA. si alimpata humuhumu jf basi atamalizana nae humuhumu JFHuna akili au yawezekana ulimbukeni wa ndoa unakusumbua
Hbr zenu wanajamii wenzangu.
Nina furaha na heshima kubwa kuwaandikia machache kati ya mengi yaliyojili tangu nimefunga ndoa na Leo ikiwa ni siku ya nne.
Kwanza kbsa nachukua nafasi hii kumuomba msamaha mume wangu mpenzi..
Nilikuwa namashaka na maamuzi YAKE pale anilipo nikatalia kusex kabla ya ndoa lkn kumbe dhamira YAKE kwangu ilikuwa njema sana.
Najisikia wa thamani na mwenye bahati kupata mume mwenye msimamo wa dhati hakika amenijengea imani naye kubwa sana.
Pili nashukuru wanajamii wote kwa ushauri wenu.
Wa ndugu hofu yangu kubwa ilikuwa ni pengine jamaa angekuwa hana uwezo wa nguvu za kiume, lakni imekuwatofauti sana na mawazo yangu.
Nashukuru nimepata mume anayejua wajibu wake wa kitandani vyema sana...wandugu ninaridhishwa kwa kiwango cha juu kbsa..
Mume wangu I'm sorry kukuwazia vibaya.
Ningependa pia kuchukua wasaa huu kuwatia moyo wanaotafuta wenzi Mungu awafanikishe na msikate tamaa. Mliokuwa mnangoja mrejesho hayo ndiyo yaliyojili..dushe lanitosha kbsa sihitaji zaidi.
Karibu kama kuna mwenye lolote.
Na usisahau kuwa baada ya kumpata Mr right wake alikuja jukwaani kulalamika kuwa Mr right hataki kumuonjesha "TAMU", Kwa tabia za huyu dada ndio maana alikosa wa kumuoa huko mitaani akaona aje jf ambako hawamjui. Naona Mr right kauvaa mkenge.I would like to take this opportunity to thank you all for contributions you provided.<br /><br />I also would like to thank all who sent pms, I tried to answer all pms as i received though I received more than 50pms<br /><br />I have come here to let you all know that I have manage to get Mr. Right through this forum, i thank God for him as his seriousness has made me to follow in love.<br /><br />We will soon begin other process...stay tuned for invitation cards. Thank you all.<br />As the read, I'm a woman of 32 years old, master degree holder, employed living in dar, christian.<br />I'm looking for my husband as it is the right time to start a family. I'm real serious. <br /><br />A man I need should be christian, at least form four leaver, employed or self employed, living in dar, at least 170 tall. <br />Welcome. All pm will be answered.
Yani huyu mwanamke sijui ni jini. Kumbe mwanaume mwenyewe yeye ndye alimtafta. Et am looking for my mr Right. Mwanaume mwenyewe et wa JF. Inawezekana alipo toa hii tenda mijamaa mingi ili duuu ikasepa zeba ndyo akatia kambi kabisa.
We mwanamke ni htare yani tuseme kuwa ulijitangazia tenda na ukalazimisha sex mwenyewe. Leo et emeolewa watutangazia na ulivyo fanywa duh hii ndoa ndoano?
Akiamungu uyo mwanaume ni jinga. Yani jinga kabisa sijui umeliloga kwa kwenda kwa mganga gani.
Na kumbe ni kweli unamiaka 30+ ulikuwa wapi sikuzote kuolewa? Kumbe ni kibibi kabisa.
Ametukimbia. Anatunyima utyaamhahahaa amejibu?
Usisahau pia kutuanzishia sredi za MUME WANGU KAMPA MIMBA HOUSEGIRL, MUME WANGU AMENIOMBA 0714......etc, etcHbr zenu wanajamii wenzangu.
Nina furaha na heshima kubwa kuwaandikia machache kati ya mengi yaliyojili tangu nimefunga ndoa na Leo ikiwa ni siku ya nne.
Kwanza kbsa nachukua nafasi hii kumuomba msamaha mume wangu mpenzi..
Nilikuwa namashaka na maamuzi YAKE pale anilipo nikatalia kusex kabla ya ndoa lkn kumbe dhamira YAKE kwangu ilikuwa njema sana.
Najisikia wa thamani na mwenye bahati kupata mume mwenye msimamo wa dhati hakika amenijengea imani naye kubwa sana.
Pili nashukuru wanajamii wote kwa ushauri wenu.
Wa ndugu hofu yangu kubwa ilikuwa ni pengine jamaa angekuwa hana uwezo wa nguvu za kiume, lakni imekuwatofauti sana na mawazo yangu.
Nashukuru nimepata mume anayejua wajibu wake wa kitandani vyema sana...wandugu ninaridhishwa kwa kiwango cha juu kbsa..
Mume wangu I'm sorry kukuwazia vibaya.
Ningependa pia kuchukua wasaa huu kuwatia moyo wanaotafuta wenzi Mungu awafanikishe na msikate tamaa. Mliokuwa mnangoja mrejesho hayo ndiyo yaliyojili..dushe lanitosha kbsa sihitaji zaidi.
Karibu kama kuna mwenye lolote.
Upo serious kama hujui ni haya na jinsi ya kuyafumua. BOFYAMarinda ndio nini?
Utanifunza Mimi utaweza? Mi namuona kama mbw..aa asiye na mwenyewe kutwa majalala
Bado siamini kama ni ndoa ya kweli au ni mwendelezo wa tamthilia;Hbr zenu wanajamii wenzangu.
Nina furaha na heshima kubwa kuwaandikia machache kati ya mengi yaliyojili tangu nimefunga ndoa na Leo ikiwa ni siku ya nne.
Kwanza kbsa nachukua nafasi hii kumuomba msamaha mume wangu mpenzi..
Nilikuwa namashaka na maamuzi YAKE pale anilipo nikatalia kusex kabla ya ndoa lkn kumbe dhamira YAKE kwangu ilikuwa njema sana.
Najisikia wa thamani na mwenye bahati kupata mume mwenye msimamo wa dhati hakika amenijengea imani naye kubwa sana.
Pili nashukuru wanajamii wote kwa ushauri wenu.
Wa ndugu hofu yangu kubwa ilikuwa ni pengine jamaa angekuwa hana uwezo wa nguvu za kiume, lakni imekuwatofauti sana na mawazo yangu.
Nashukuru nimepata mume anayejua wajibu wake wa kitandani vyema sana...wandugu ninaridhishwa kwa kiwango cha juu kbsa..
Mume wangu I'm sorry kukuwazia vibaya.
Ningependa pia kuchukua wasaa huu kuwatia moyo wanaotafuta wenzi Mungu awafanikishe na msikate tamaa. Mliokuwa mnangoja mrejesho hayo ndiyo yaliyojili..dushe lanitosha kbsa sihitaji zaidi.
Karibu kama kuna mwenye lolote.
Wewe ni mtoto mdongo Ngoma za wakubwa huziwezi..emu wahi shule huku pata kuchelewesha. Isitoshe ya kulogwa au kujitangazia wewe hayakuhusu kbsa..nakusihisi nenda kasome wenzio tumeshasoma natunamaisha yetu humu tuna changamshaa jukwaa tu.I would like to take this opportunity to thank you all for contributions you provided.<br /><br />I also would like to thank all who sent pms, I tried to answer all pms as i received though I received more than 50pms<br /><br />I have come here to let you all know that I have manage to get Mr. Right through this forum, i thank God for him as his seriousness has made me to follow in love.<br /><br />We will soon begin other process...stay tuned for invitation cards. Thank you all.<br />As the read, I'm a woman of 32 years old, master degree holder, employed living in dar, christian.<br />I'm looking for my husband as it is the right time to start a family. I'm real serious. <br /><br />A man I need should be christian, at least form four leaver, employed or self employed, living in dar, at least 170 tall. <br />Welcome. All pm will be answered.
Yani huyu mwanamke sijui ni jini. Kumbe mwanaume mwenyewe yeye ndye alimtafta. Et am looking for my mr Right. Mwanaume mwenyewe et wa JF. Inawezekana alipo toa hii tenda mijamaa mingi ili duuu ikasepa zeba ndyo akatia kambi kabisa.
We mwanamke ni htare yani tuseme kuwa ulijitangazia tenda na ukalazimisha sex mwenyewe. Leo et emeolewa watutangazia na ulivyo fanywa duh hii ndoa ndoano?
Akiamungu uyo mwanaume ni jinga. Yani jinga kabisa sijui umeliloga kwa kwenda kwa mganga gani.
Na kumbe ni kweli unamiaka 30+ ulikuwa wapi sikuzote kuolewa? Kumbe ni kibibi kabisa.