Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
Ndyo maana nikasema you fooled us all before.Ambae hajaelimika ni wewe ambaye nimefanikiwa kuigeza akili yako mpaka povu linakutoka..waliosoma wote wanajua ninachokifanya hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndyo maana nikasema you fooled us all before.Ambae hajaelimika ni wewe ambaye nimefanikiwa kuigeza akili yako mpaka povu linakutoka..waliosoma wote wanajua ninachokifanya hapa
aaaaaah jamani MONICCA weeeee njooo bana .. HUTANIWIIIIIIII LOOOH!!!!🙄
Fresh tu mpendwa wanguKwema mpenzi wangu niambie
Sawa mkuu ni wazo jema ntalifanyia kazi..tena ikiwezekana ntachukua viwili kbsaHapo Kazi Tu Naamini Mnatumbuana Majipu Usisahau Ukiwa Na Ndoo Kichwani Mkononi Kidumu Ili Ndoo Ya Kichwani Ikimwagika Unaweza Kunywa Kuoga Na Kuendelea Kupika Chakula!!!!!!!
Nikutetee kidogo, ujue ulitaja hata kanisa na Reception, kwa vile mimi nipo Katavi sikuwa na njia ila yaliyo Dar hawana excuse ya kutokuthibitisha wakati ule. Ref naolewa leoNimeolewa ndiyo Ila usijali mambo mengne yatakuwa sawa tu
Hbr zenu wanajamii wenzangu.
Nina furaha na heshima kubwa kuwaandikia machache kati ya mengi yaliyojili tangu nimefunga ndoa na Leo ikiwa ni siku ya nne.
Kwanza kbsa nachukua nafasi hii kumuomba msamaha mume wangu mpenzi..
Nilikuwa namashaka na maamuzi YAKE pale anilipo nikatalia kusex kabla ya ndoa lkn kumbe dhamira YAKE kwangu ilikuwa njema sana.
Najisikia wa thamani na mwenye bahati kupata mume mwenye msimamo wa dhati hakika amenijengea imani naye kubwa sana.
Pili nashukuru wanajamii wote kwa ushauri wenu.
Wa ndugu hofu yangu kubwa ilikuwa ni pengine jamaa angekuwa hana uwezo wa nguvu za kiume, lakni imekuwatofauti sana na mawazo yangu.
Nashukuru nimepata mume anayejua wajibu wake wa kitandani vyema sana...wandugu ninaridhishwa kwa kiwango cha juu kbsa..
Mume wangu I'm sorry kukuwazia vibaya.
Ningependa pia kuchukua wasaa huu kuwatia moyo wanaotafuta wenzi Mungu awafanikishe na msikate tamaa. Mliokuwa mnangoja mrejesho hayo ndiyo yaliyojili..dushe lanitosha kbsa sihitaji zaidi.
Karibu kama kuna mwenye lolote.
Sawa, asante kwa ushauri wako mkuu..ntalifanyia kazi..Ila nawewe uko.me kunifuata fuata.Kwahiyo unataka kuanza mchepuko kama kawaida yako mapema hivi ujue siku nne ni sawa na masaa 96 tu ndani ya ndoa yako.
Tulia maana mimi huwa sipendi wanafiki ulisha sema ulitaka kumpa jamaa papuchi kabla hata ya ndoa, ila msela naye akavunga tu.
Inaonyesha hujatulia wewe na usipo badilika ni kiumbe hatari sana mpenda ngono uzembe.Badilika ASAP
Umeongea points but unatia huruma sana..kwani Leo hujala? Au unastresssiku ya 4 tu full sifa hadi jf mwaka je? NDOA MNAZITAMANI KUZITUNZA HAMUWEZI wadada wa leo mna kaziiiiiiiiiiiiiii turudi katika misingi NDOA NI WAJIBU WETU SOTE
maana nakuona ndugu yangu umeitafuta sana ndoa mpaka kwa tochi WANAUME TUPO ILA HATUOI MAFUSO HUENDA NAWE ULIKUWA FUSOUmeongea points but unatia huruma sana..kwani Leo hujala? Au unastress
Lakin hujajibu hoja zangu rudi kwenye points plzmaana nakuona ndugu yangu umeitafuta sana ndoa mpaka kwa tochi WANAUME TUPO ILA HATUOI MAFUSO HUENDA NAWE ULIKUWA FUSO
TULIA NAE HUYO ILA UACHE KUJISIFIA BADO MCHANGA WEWE
UTANISAIDIA NINI KAMA UPO KWENYE NDOA YA SIKU 4? kampikie mumeo au huna kwanza mvua ndoa hata mwezi bado mitandaoni hahahahLakin hujajibu hoja zangu rudi kwenye points plz
..naweza kukusaidia chchte?