alifanya ufisadi wa kutisha pale wizara ya fedha, alipolazimishwa kujiuzulu Jakaya Kikwete toka Msoga, alipewa nafasi ya kuwa waziri na kazi yake ya kwanza ilikua kugundua ni Kiasi gani Malima alifuja.
Uchunguzi inasemekana ulibaini maelfu ya pesa yaliibwa toka Hazina, na kupelekwa Ng'ambo....!
Alikufa wakati serikali ya Tanzania ilikuwa ikifunga akaunti zake ughaibuni, na baada ya Kighoma kugundua kuwa fedha zimekaushwa kwenye baadhi ya akaunti zake nono ndipo Hyper Blood Pressure ikachukua maisha yake.
mafankuro kama nyie ndio mnaotutamanisha cku moja tuchapane kidini sgabavet minyana
