Leo ni siku yangu ya kuzaliwa

Leo ni siku yangu ya kuzaliwa

T 1990 ELY

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2014
Posts
12,674
Reaction score
29,643
Wapendwa wana Jamiiforums

Leo ni siku yangu ya kuzaliwa, naomba unitakie chochote kile unachoona wewe kinaweza kunifariji na kunifurahisha siku yangu muhimu ya leo. Akhsanteni sana na MUNGU awabariki.
 
Kukufariji???
Yaan unamaanisha hii ni cku yako ya majonzi mkuu..

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
 
Wapendwa wana Jamiiforums

Leo ni siku yangu ya kuzaliwa, naomba unitakie chochote kile unachoona wewe kinaweza kunifariji na kunifurahisha siku yangu muhimu ya leo. Akhsanteni sana na MUNGU awabariki.
Happy b'day man long live n god blec u
 
Back
Top Bottom