Che Guevara alifika Congo kusaidia harkati za kupambana na ukoloni mambo Leo,alikaa kwa miezi 7 ,akagundua kuwa viongozi aloshirikiana Nao hawakuwa mwamko wa kisiasa hali iliopelekea che akaondoka zake,kuondoka kwa che kulipelekea 1975 Mobutu seseseko akachukua dola ambae alikuwa mshirika mkubwa WA marekani,karibuni wadau kwa nyongeza juu ya siku hii ya kukumbukwa