msomi uchwara
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 4,280
- 7,903
Zamani raha sana. Yani hisia zilikua za kweli mpka mtu uandike barua unakua umejitolea mda wako umetuliaa unaaandika unabandika na viua ua. Chini unaweka dedication song 😀😀Nikitoka hapo naenda stetionery kununua karatasi za maua na stempu namuandikia barua mpenzi enzi hizo alikua bado anasoma Kondoa Girls.
Hatarii asee bongo record chini ya Majani ilikuwa inafanya poa siyo hawa maproducer wakina laizer mara t touch[emoji6]Acha kabisa. Mimi ni ile sound ya ngingi ngingi ngiiii yani duu natamani niruke
Niliwah kuingia nae mgogoro ilinibidi kuandika barua ndefu sana kuomba msamaha na nyuma nikachora picha ya mtu kapiga magoti anasali rosari ya Mama Bikira Maria, [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mimi Ruff ryders- what ya wantWadau mimi ni Beat ya wimbo wa MIKASI wa ManNgwair na Beat ya wimbo wa NIKUSAIDIJE wa prof Jay. Aisee hata kama nimekasirika naanza kupata raha tuu. Yani natamani kucheza au kutingisha kichwa. Zinanikumbusha life ya shule boarding enzi hizo tukienda kucheza disco shule za boys. Karibuni
We tamala hulijui hilo goma hatari tupu kaligonga mikamwamba yani lilikuwa likipigwa nywele kichwani zinasimamaH
Hapo nimeambulia tuu she got gwan hao wengine Nehi