Leo ni TBT hebu sema ni beat ya wimbo upi ambayo ukiisikia tuu inaanza unapagawa

Dakika moja ya ngwear feat Nura

Mimi na binti dam dam ya fa

Hii leo ya Gk. feat Fa,Ay
Huo wa mwana FA mimi na mabinti dam dam nilikua naupenda kwa sbb kuna jina langu mwana fa anataja hapo basi kipindi hicho ukisikia jina lako kwenye verse za wimbo wa mtu unajisikia uko juu hata kama kuimbwa hujaimbwa wewe😀😀😀
 
Dully sykes DHAHABU
 
Kuna beat kama Wanok wanok ya Man Dojo na Domo aisee P funk majani alitulia sana!

Pia kuna asali wa moyo ya Inspektah

Pia kuna Wanapendana ya Mwana Fa
Majani alikua balaa sema tuu kipindi chao hapakua na hela kama sasa
 
Kuna wimbo aliimba kichefu unaitwa utanikumbuka producer amba yan n bonge la beat mwingine ni wimbo wa nemo unaitwa baby sema naukubali sana ila kila nkiutafuta siupati alienao anaweza kunipm
 
Kama tukizungumzia beats tu basi ni ile ya "Nini mnataka mazee" ile beat ni kali mazee,yaani kama angeipiga live basi ingehitaji ma guitarist kama 20,wapiga vinanda 10,drummers kama 6,saxaphone 9,pia kuwe na wapiga filimbi,chekecha,miluzi nk!! Ile beat Wacha kabisa!! Nyingine ni hiyo ya Mwana Fa,Alikufa kwa ngoma! Tusichanganye nyimbo nzuri na beat nzuri! Nyimbo inaweza kuwa mbaya lakini ikabebwa na beat au vice versa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…