Leo niko na furaha sana

Leo niko na furaha sana

Hammer11

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2024
Posts
1,518
Reaction score
2,174
Iko hivi kuna demu bhana mm nilimtongoza akakubali vizuri nikadate nae baada ya kudent akanambia na. Birthday ya mtoto wake hivyoo anataka nimpe kama 1500 ambayoo kibongo bongo ni 30000 kumbuka mm niko kenya sasa bada ya mm kumtosa akanidharau ooooh sijuii kwanza huna mbele wala nyuma sikujuu wewe mjinga sina shida bora nibak na mumewe wangu maan anaishi n msela tuuu sasa nikasema sawa hewala ikapita miez nane aliniblock kote ila aliniachia tuuu kwa imo sasa namuona imoo analyst picha kali nikamtex akazaaa kuniambia Ana shida ya mìa 400 nikampa akaniàmbia mwanae anataka kusukwa nikamtumia pesa nikamwambia yale yameisha tuangalie yajayooo akakubali bwan leo kaja geto nilimuahidi kumpa 1000 ambayoo ni 22000 ya kibongo sasa kaja hapaaa nimeichapa sana kwa hasira zote kaondoka nimemuahidi kumuwekea kwa simu ila sasa mm nimemzingua na simuwekeii na ndoo nishamuachaaaa hivyooo asante nimefanya poa au vibaya
 
Eti ndo tupo kwenye uchaguzi hapa wa serikali za motaa na huyu ni mmojawapo wa mtegemewa, either kugombea au kupiga kula. Hatari sana!!!!
 
Back
Top Bottom