Leo nilijipanga kuandika message ya kuipongeza Serikali kwa kumaliza tatizo la kukatika kwa umeme, nashangaa kimya

Leo nilijipanga kuandika message ya kuipongeza Serikali kwa kumaliza tatizo la kukatika kwa umeme, nashangaa kimya

Pantosha

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
640
Reaction score
958
Ni kama wiki hivi tumekuwa tukifurahia umeme hata kipindi hiki cha mvua zinazoambatana na upepo. Nikasema, hapa sasa serikali imemaliza hii kero ya kukatika umeme.

Nikapanga jumapili hii basi niandike message yangu kuipongeza serikali. Kabla sijaandika nikasema niangalie kama umeme upo. Si nikakuta wamekata.
 
Ni kama wiki hivi tumekuwa tukifurahia umeme hata kipindi hiki cha mvua zinazoambatana na upepo. Nikasema, hapa sasa serikali imemaliza hii kero ya kukatika umeme.

Nikapanga jumapili hii basi niandike message yangu kuipongeza serikali. Kabla sijaandika nikasema niangalie kama umeme upo. Si nikakuta wamekata.
NI udaku tu ndio unakusumbua hakuna hata dharura!
 
Serikali kwa Leo ielewe kua Hawa watu wa
Mkoa -pwani
Wilaya ya mkuranga
Kata ya picha ya ndege
Kijiji-kamegele kwa kisholo
Karibu na chuo cha ualimu vikindu wanaangalia na mbunge wao kazima simu. Diwani kakimbia
 

Attachments

  • VID-20240421-WA0007.mp4
    2 MB
  • IMG-20240421-WA0006.jpg
    IMG-20240421-WA0006.jpg
    193.4 KB · Views: 5
  • IMG-20240421-WA0005.jpg
    IMG-20240421-WA0005.jpg
    188.5 KB · Views: 9
  • IMG-20240421-WA0004.jpg
    IMG-20240421-WA0004.jpg
    158.7 KB · Views: 4
  • IMG-20240421-WA0003.jpg
    IMG-20240421-WA0003.jpg
    148.6 KB · Views: 9
  • IMG-20240421-WA0002.jpg
    IMG-20240421-WA0002.jpg
    224.5 KB · Views: 5
  • IMG-20240421-WA0001.jpg
    IMG-20240421-WA0001.jpg
    130.3 KB · Views: 9
Ni kama wiki hivi tumekuwa tukifurahia umeme hata kipindi hiki cha mvua zinazoambatana na upepo. Nikasema, hapa sasa serikali imemaliza hii kero ya kukatika umeme.

Nikapanga jumapili hii basi niandike message yangu kuipongeza serikali. Kabla sijaandika nikasema niangalie kama umeme upo. Si nikakuta wamekata.
Siku hizi Hawaiti mgao wanaita upungufu.
 
Ktk hili mbunge mnamuonea tu. Mbunge hakusanyi kodi wala hana fungu la barabara.

Tanroad ama Tarura ndiyo muwatafute na kuwalaumu. Na hawa hawasimamiwi na mbunge.

Amkeni watanzania acheni ujinga
 
Ktk hili mbunge mnamuonea tu. Mbunge hakusanyi kodi wala hana fungu la barabara.

Tanroad ama Tarura ndiyo muwatafute na kuwalaumu. Na hawa hawasimamiwi na mbunge.

Amkeni watanzania acheni ujinga

Umewahi kusikia ahadi za wabunge kwenye kampeni zao?
 
Ni kama wiki hivi tumekuwa tukifurahia umeme hata kipindi hiki cha mvua zinazoambatana na upepo. Nikasema, hapa sasa serikali imemaliza hii kero ya kukatika umeme.

Nikapanga jumapili hii basi niandike message yangu kuipongeza serikali. Kabla sijaandika nikasema niangalie kama umeme upo. Si nikakuta wamekata.
Sasa kazi ya TANESCO ni nini !.Katika interview zao zote wanatazama sana kama una uwezo wa kukata umeme kwa haraka.
 
Tanesco wameloga tena,naangalia London Marathon,mara umeme paa!,kipindi nchi Ina heshima na adabu mbio hizi lazima watanzania walikua in a mix,Leo tumebakiwa na udaku tu wakati wenzetu wakenya &waethopia wanazitangaza nchi zao,wapi G.Shahanga,S.Nyambui etc etc hakuna generation iliyo take over,TANZANIA tulipinda kona ya ovyo kabisa
 
Nina karibu miezi 2 sijaona mgao wa umeme ukiachilia ile fault ya pasaka ya pili ya masaa kadhaa, waziri mwenye dhamana na watendaji wake wanafanya kazi yao ipasavyo.
 
Ni kama wiki hivi tumekuwa tukifurahia umeme hata kipindi hiki cha mvua zinazoambatana na upepo. Nikasema, hapa sasa serikali imemaliza hii kero ya kukatika umeme.

Nikapanga jumapili hii basi niandike message yangu kuipongeza serikali. Kabla sijaandika nikasema niangalie kama umeme upo. Si nikakuta wamekata.
Huku bado unakatika siku hizi unakatwa usiku, kila baada ya saa unakatwa na kuwashwa.
 
Back
Top Bottom