Siku ya leo nilikuwa na mishe kidogo kariakoo hivyo nikabeba mgongoni kibegi changu nakuelekea mitaa ya msimbazi sasa nikiwa katika ile barabara ya msimbazi nikajisemea leo nataka nimkamate mwizi nikajiwekea nadhiri lazima nitampata mwizi na nikajisemea lazima atajilenga hivyo tembea yangu ilikuwa ya mitego ya kumvizia mwizi
Kwa wasiofahamu barabara ya msimbazi haswa wa mikoani katikàti kuna barabara ya mwendo kasi na pembeni kabisa barabara ya magari lakini nyembamba halafu kijibarabara cha juu ni cha watembea miguu hapo watu hutembea nyomi msongamano na kwa vile mie nimezaliwa migo migo nikajua sehemu hii na nimebeba begi lazima wazee wakupiga ndole ,kufungua mazipu watakuwepo
Mungu sio mzee mkumba bwana kuna kijamaa kikajileta na kwakuwa lengo langu lilikuwa hilo maana nilijua tu kwa vile nimebeba begi na njia hii watu hutembea resi sana lazima hawa wafungua zipu watakuwepo ,kwanza nikahisi kama zipu inataka kufunguliwa ile nataka nigeuké majamaa wajanja sana nikajisemea nisigeuke mpaka nipate target nzuri nikaendelea na safari huku macho yangu yakiangalia side mirror ,mara paap nahisi zipu inafunguka na kwa yeyote ambaye hakuwa na nia kama ya kwangu haki ya Mungu hauhisi chochote mie japo nilikuwa na adhma na nia hio lkn 50%/50% nisingegundua ile nageuka kwa spidi nimtie nguvini daah kazuga utamu sana pembeni mita kadhaa huku akitizama pembeni kama sio yeye alivalie kapelo na T-shirt nyekundu
Ñdugu zanguni hii barabara ya msimbazi naijua kitambo sana na njia hii watu huwa hawapo makini na kwa wingi ule wa watu kila mtu yupo resi sasa wenye vibegi hufunguliwa begi sana
Kwa mnaopenda kuweka vitu kwenye mabegi na kupita njia ile watch out ile njia zipu hufunguliwa sana mie nilijifunza miaka kadhaa nilimuona jamaa akifunguliwa zipu so nikibeba begi njia ile huwa nipo care sana
Kwa wasiofahamu barabara ya msimbazi haswa wa mikoani katikàti kuna barabara ya mwendo kasi na pembeni kabisa barabara ya magari lakini nyembamba halafu kijibarabara cha juu ni cha watembea miguu hapo watu hutembea nyomi msongamano na kwa vile mie nimezaliwa migo migo nikajua sehemu hii na nimebeba begi lazima wazee wakupiga ndole ,kufungua mazipu watakuwepo
Mungu sio mzee mkumba bwana kuna kijamaa kikajileta na kwakuwa lengo langu lilikuwa hilo maana nilijua tu kwa vile nimebeba begi na njia hii watu hutembea resi sana lazima hawa wafungua zipu watakuwepo ,kwanza nikahisi kama zipu inataka kufunguliwa ile nataka nigeuké majamaa wajanja sana nikajisemea nisigeuke mpaka nipate target nzuri nikaendelea na safari huku macho yangu yakiangalia side mirror ,mara paap nahisi zipu inafunguka na kwa yeyote ambaye hakuwa na nia kama ya kwangu haki ya Mungu hauhisi chochote mie japo nilikuwa na adhma na nia hio lkn 50%/50% nisingegundua ile nageuka kwa spidi nimtie nguvini daah kazuga utamu sana pembeni mita kadhaa huku akitizama pembeni kama sio yeye alivalie kapelo na T-shirt nyekundu
Ñdugu zanguni hii barabara ya msimbazi naijua kitambo sana na njia hii watu huwa hawapo makini na kwa wingi ule wa watu kila mtu yupo resi sasa wenye vibegi hufunguliwa begi sana
Kwa mnaopenda kuweka vitu kwenye mabegi na kupita njia ile watch out ile njia zipu hufunguliwa sana mie nilijifunza miaka kadhaa nilimuona jamaa akifunguliwa zipu so nikibeba begi njia ile huwa nipo care sana