Leo nimeaibika sana, roho inauma

Leo nimeaibika sana, roho inauma

Godwin peter

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2019
Posts
360
Reaction score
608
Mimi ni kijana wa miaka 25 mkazi wa Dar es Salaam. Kwa muda mrefu sijawa katika mahusiano nikiwa na deal tu na mishe zangu, sasa leo nimepata nafasi ya kula tunda la binti mmoja hivi ambaye amekuja hadi getho.

Lahaula uume umekataa kusimama kabisa mpaka anaondoka yaani aibu sana mimi mtoto wa kiume. Na hii sio mara ya kwanza ishawahi nitokea kama mara mbili. Pia nishawahi kwenda hospital (Regency) nikaandikiwa dawa inaitwa Tradafil ila sijaitumia kuogopa kutosimama bila dawa.

Nisaidieni wanajamii naaibika mimi.
 
Miaka 25 shida itakua mentally zaidi. Fanya mazoezi ..Kula vizuri, Ukipata mdada mwambie aje kulala Hadi asubuhi ili usijipe presha ya kufanya kabla hajaondoka.

Anza kuamini huna tatizo litaondoka.
 
Sio tatizo lako peke yako,hilo ni tatizo la wanaume wengi siku hizi, ndo maana kila kona unakutana na matangazo ya dawa za kuongeza nguvu za kiume!!!

Fanya mazoezi,kula vizuri, jiamini

Kama hutojali nenda hospital kachek sukari, nayo husababisha tatizo hilo!!!!
 
Fanya sanaa mazoezi...
Anza kwa kukimbia km 4 endelea kuongeza kila wiki.

Wakati wa mwanzo unaweza ukawa unakimbia halafu unatembea haraka haraka.
Endelea hivyo huku ukiongeza muda wa kukimbia.

Usisahau kula sanaa matunda.
Usisahau kunywa maji mengi.
Usisahau kulala vizuri na masaa yasiopungua 6 - 8, ila siku uliyochoka zaidi upe mwili muda wa kupumzika zaidi.


#YNWA
 
Miaka 25 shida itakua mentally zaidi..
Fanya mazoezi ..Kula vizuri ..
Ukipata mdada mwambie aje kulala Hadi asubuhi ili usijipe presha ya kufanya kabla hajaondoka....

Anza kuamini huna tatizo litaondoka
Perhaps this is the! Best answer that he can get here. Am curious to know was the girl ready for the game? Ama was thinking of it ndani ya suruali afu akapona mnara haunasi akaaamua awe mpole kujipushia fedheha?

Lkn je hana skills nyingine zaidi? Like hajui hata matumizi ya nyenzo mbadala ambayo yangempagawisha mdada adi amsaidie kutafuta netwk?

Lastly dogo mwanamke anachotafuta ni kukojozwa. So hata kidole ukikitumia vzr kinatosha kbs kukuepushia fedheha.

Tena you do it bila presha huku huna presha ya kutumia uume wako. Akiwa anakolea anataka upande unamwambia relax wala usiwe na presha. Akikojoa vzr unamwambia basi mama leo ilikuwa ni siku yako tuu. Ipo siku nitakuja kwaajili yangu na wewe tena.
Unamalizia na mabusu moto moto.

Hizi ni skills ndogo ndogo za kukufanya upuke fedheha ndogo ndogo
 
Mimi ni kijana wa miaka 25 mkazi wa dar es salaam...Kwa muda mrefu sijawa katika mahusiano nikiwa na deal tu na mishe zangu,sasa leo nimepata nafasi ya kula tunda la binti mmoja hivi ambaye amekuja hadi geto,lahaula uume umekataa kusimama kabisa mpaka anaondoka yaani aibu sana mimi mtoto wa kiume...Nahii sio mara ya kwanza ishawah nitokea kama mara ya pili,pia nishawah kwenda hospital (Regency) nikaandikiwa dawa inaitwa Tradafil ila sijaitumia kuogopa kutosimama bila dawa.Nisaidieni wana jamii naaibika mimi
Pole ni kawaida tu,tuliza saikolojia yako

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Mimi ni kijana wa miaka 25 mkazi wa dar es salaam...Kwa muda mrefu sijawa katika mahusiano nikiwa na deal tu na mishe zangu,sasa leo nimepata nafasi ya kula tunda la binti mmoja hivi ambaye amekuja hadi geto,lahaula uume umekataa kusimama kabisa mpaka anaondoka yaani aibu sana mimi mtoto wa kiume...Nahii sio mara ya kwanza ishawah nitokea kama mara ya pili,pia nishawah kwenda hospital (Regency) nikaandikiwa dawa inaitwa Tradafil ila sijaitumia kuogopa kutosimama bila dawa.Nisaidieni wana jamii naaibika mimi
Relax na ondoa hofu. Kwa miaka 25 naona sio muda wa kuanza kutumia dawa za hospitali. Naungana na walio kushauri kufanya mazoezi, kula mlo kamili hasa vitu kama matunda, karanga, tende, maziwa na vingine vinavyofanana na hivyo.
Jitahidi kutafuta mtu ambaye hatakupa pressure. Take it slowly but sure utafanikiwa.
 
Back
Top Bottom