Leo nimeaibika sana, roho inauma

Leo nimeaibika sana, roho inauma

Fanya aina ya mazoezi yanaitwa kejel exercise unaweza search YouTube kuona yanafanyikaje haya husaidia kukuza uwezo wa ume kusimama tena kwa muda mrefu.

Kwa namna yeyote ile usitazame pornography/avoid pornography.

Achana na matumizi ya sukari na vitu vyote vyenye sukari sukari.

Pata usingizi wakutosha angalau masaa 8.

Cha mwisho kabisa jarbu kumfollow Dr mmoja twitter handle yake inaitwa @amerix atakusaidia sana kua mwanaume rijali kweli kweli.
 
Pole kijana fanya maandalizi mapema ya tendo hilo hisia zako na mawazo yako yaweke katika tendo hilo
 
Swali dogo hapa...

Je, ukiwa peke yako uume huwa unasimama?
Je, ukiwa unawaza mambo ya ngono au kutazama picha ya mwanamke mrembo, uume huwa unasimama?
 
Acha PUNYETO.
Mimi ni kijana wa miaka 25 mkazi wa dar es salaam...Kwa muda mrefu sijawa katika mahusiano nikiwa na deal tu na mishe zangu,sasa leo nimepata nafasi ya kula tunda la binti mmoja hivi ambaye amekuja hadi geto,lahaula uume umekataa kusimama kabisa mpaka anaondoka yaani aibu sana mimi mtoto wa kiume...Nahii sio mara ya kwanza ishawah nitokea kama mara ya pili,pia nishawah kwenda hospital (Regency) nikaandikiwa dawa inaitwa Tradafil ila sijaitumia kuogopa kutosimama bila dawa.Nisaidieni wana jamii naaibika mimi
 
Wakati mwingine shukuru tu Mungu mkuu, hujui alikuepushia na kitu gani

Pia Wengine wamewekewa Tego mkuu ukifika mambo haisimami au unakorogewa mambo kabisa

Ama pia labda hukua unamfeel kivile huyo mtoto wa kike, cha kufanya tulia tafuta manzi nyingine test mitambo inakaaje
 
Malezi yamekuathiri kijana wangu, ili kuepuka haya yote hebu sahau yote ya nyuma na ujione kama mtu mpya.

Screenshot_20211107-080156.jpg
 
Mimi ni kijana wa miaka 25 mkazi wa dar es salaam...Kwa muda mrefu sijawa katika mahusiano nikiwa na deal tu na mishe zangu,sasa leo nimepata nafasi ya kula tunda la binti mmoja hivi ambaye amekuja hadi geto,lahaula uume umekataa kusimama kabisa mpaka anaondoka yaani aibu sana mimi mtoto wa kiume...Nahii sio mara ya kwanza ishawah nitokea kama mara ya pili,pia nishawah kwenda hospital (Regency) nikaandikiwa dawa inaitwa Tradafil ila sijaitumia kuogopa kutosimama bila dawa.Nisaidieni wana jamii naaibika mimi
U-"sihahibike" tena mkuu.Siku nyingine fungia hata chelewa kwenye dushe linyooke.
 
He needs a lady ambaye atamuelewa tatizo lake, kisha huyo lady amjenge vzr kisaikolojia na ampe mbususu kisawasawa ndipo atakaa sawa.

Surbi nakupa hiyo task, go take care of him plz[emoji4]
Jamani mimi mkubwa sana kwake nipo napambana na vizee ! Yeah apate mwanamke wa kumuelewa! Halafu ameogopa bure tu..angeanza na romance kama dada gfoswn alivoshauri hapo mbele mambo yangejiset tu... Alipata hofu mapema
 
Jamani mimi mkubwa sana kwake nipo napambana na vizee ! Yeah apate mwanamke wa kumuelewa! Halafu ameogopa bure tu..angeanza na romance kama dada gfoswn alivoshauri hapo mbele mambo yangejiset tu... Alipata hofu mapema
Tena ukiwa mkubws ndo vzr zaidi, hivi vidada fyatu vya siku izi ndiyo hovyo kabisa, tena wataishia kumtangaza alafu azidi kuchanganyikiwa mkaka wa watu.
 
Tena ukiwa mkubws ndo vzr zaidi, hivi vidada fyatu vya siku izi ndiyo hovyo kabisa, tena wataishia kumtangaza alafu azidi kuchanganyikiwa mkaka wa watu.
Lol I'm too old for that... ..... Halafu bado mdogo hili tatizo litamuathiri sana kisaikolojia! Au amezoea punyeto??
 
Lol I'm too old for that... ..... Halafu bado mdogo hili tatizo litamuathiri sana kisaikolojia! Au amezoea punyeto??
Nyeto mm nimepiga since primary mpaka nakuja kula mbususu for first nilivyomaliza form six na niliifakamia vzr tu[emoji23]

Kupiga nyeto ni dalili uko active.

Huyu ukisoma nyuzi zake za nyuma utagundua kuna kitu hakiko sawa.
 
Back
Top Bottom