Ulikuwa umevaa mpira
Mimi ni kijana wa miaka 25 mkazi wa dar es salaam...Kwa muda mrefu sijawa katika mahusiano nikiwa na deal tu na mishe zangu,sasa leo nimepata nafasi ya kula tunda la binti mmoja hivi ambaye amekuja hadi geto,lahaula uume umekataa kusimama kabisa mpaka anaondoka yaani aibu sana mimi mtoto wa kiume...Nahii sio mara ya kwanza ishawah nitokea kama mara ya pili,pia nishawah kwenda hospital (Regency) nikaandikiwa dawa inaitwa Tradafil ila sijaitumia kuogopa kutosimama bila dawa.Nisaidieni wana jamii naaibika mimi
This is jf bana..kumbe ni tatizo la muda! Pole yakeMalezi yamekuathiri kijana wangu, ili kuepuka haya yote hebu sahau yote ya nyuma na ujione kama mtu mpya.
View attachment 2001640
He needs a lady ambaye atamuelewa tatizo lake, kisha huyo lady amjenge vzr kisaikolojia na ampe mbususu kisawasawa ndipo atakaa sawa.This is jf bana..kumbe ni tatizo la muda! Pole yake
U-"sihahibike" tena mkuu.Siku nyingine fungia hata chelewa kwenye dushe linyooke.Mimi ni kijana wa miaka 25 mkazi wa dar es salaam...Kwa muda mrefu sijawa katika mahusiano nikiwa na deal tu na mishe zangu,sasa leo nimepata nafasi ya kula tunda la binti mmoja hivi ambaye amekuja hadi geto,lahaula uume umekataa kusimama kabisa mpaka anaondoka yaani aibu sana mimi mtoto wa kiume...Nahii sio mara ya kwanza ishawah nitokea kama mara ya pili,pia nishawah kwenda hospital (Regency) nikaandikiwa dawa inaitwa Tradafil ila sijaitumia kuogopa kutosimama bila dawa.Nisaidieni wana jamii naaibika mimi
Muda huo ndululu ipo kama utambiSasa ndululu haijasimama dede huo mpira utavalishwa aje?
Jamani mimi mkubwa sana kwake nipo napambana na vizee ! Yeah apate mwanamke wa kumuelewa! Halafu ameogopa bure tu..angeanza na romance kama dada gfoswn alivoshauri hapo mbele mambo yangejiset tu... Alipata hofu mapemaHe needs a lady ambaye atamuelewa tatizo lake, kisha huyo lady amjenge vzr kisaikolojia na ampe mbususu kisawasawa ndipo atakaa sawa.
Surbi nakupa hiyo task, go take care of him plz[emoji4]
Malezi yamekuathiri kijana wangu, ili kuepuka haya yote hebu sahau yote ya nyuma na ujione kama mtu mpya.
View attachment 2001640
Tena ukiwa mkubws ndo vzr zaidi, hivi vidada fyatu vya siku izi ndiyo hovyo kabisa, tena wataishia kumtangaza alafu azidi kuchanganyikiwa mkaka wa watu.Jamani mimi mkubwa sana kwake nipo napambana na vizee ! Yeah apate mwanamke wa kumuelewa! Halafu ameogopa bure tu..angeanza na romance kama dada gfoswn alivoshauri hapo mbele mambo yangejiset tu... Alipata hofu mapema
Tambua kuna watu wanachanganya h na irabu . Pia L na r...toa ushauri umsaidie mwanaume mwenzio
Lol I'm too old for that... ..... Halafu bado mdogo hili tatizo litamuathiri sana kisaikolojia! Au amezoea punyeto??Tena ukiwa mkubws ndo vzr zaidi, hivi vidada fyatu vya siku izi ndiyo hovyo kabisa, tena wataishia kumtangaza alafu azidi kuchanganyikiwa mkaka wa watu.
Nyeto mm nimepiga since primary mpaka nakuja kula mbususu for first nilivyomaliza form six na niliifakamia vzr tu[emoji23]Lol I'm too old for that... ..... Halafu bado mdogo hili tatizo litamuathiri sana kisaikolojia! Au amezoea punyeto??